O-man
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 323
- 65
Kwa wakazi wa Kariakoo adha ya maji kwa siku ya tano leo imekuwa kero isiyo mfano. Ingekuwa hakuna visima vya maji (vingi maji yake yana chumvi mno), kungezuka balaa. Magorofa yaliyobanana, wingi wa watu - nahisi hata soko la Kariakoo lingefungwa.
Hata maji yanapopatikana Kariakoo bado ni chafu. Vyoo vya Kizungu haviingiliki. Hivi mamlaka husika haina aina yoyote ya supply kwa dharura? Tunawashukuru wenye visima wachache ambao wanaruhusu watu kuchota maji bila malipo (kama umeme upo).
Hata maji yanapopatikana Kariakoo bado ni chafu. Vyoo vya Kizungu haviingiliki. Hivi mamlaka husika haina aina yoyote ya supply kwa dharura? Tunawashukuru wenye visima wachache ambao wanaruhusu watu kuchota maji bila malipo (kama umeme upo).