si wote wanaokosoa wanataka kuwa wanasiasaMpevu!
That is very true! sote tuna jua role ya kanisa katika Ruanda Genocide. Halafu cha ajabu it seems anajua hayo maovu vizuri labda kuna wakubwa wameenda kuungama kwake si ayaseme badala ya kusema ooh nipo tayari kuuwawa!! for what? si atuambie na sisi? halafu kama mabobu ya Gongolamboto ni adhabu toka kwa Mungu kama anavyodai, sasa Japan nao wamefanya ufisadi gani huko kwao kwa hilo laTsunami la jana? atueleze hicho anachojua hadi kustahili kuuwawa na serikali!
Otherwise, the Government needs to respond on these accusations, they are very damaging especially this time around when they are comming from such a senior religious leader. Na kama ni kweli anazibwa mdomo hata Mh. Pinda pia amzibe mdomo? si wanatoka kumoja huko Sumbawanga si amuite amueleze badala ya kusubiri shughuli kama hiyo ya Goms? ni nafikiri somehow he is becoming a politician!!
Kanisa + Siasa = Rwanda
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema viongozi ndani ya Serikali, wamekuwa wakitenda mambo mengi mabaya dhidi ya wananchi na kuficha uozo wao kwa gharama yoyote.Askofu Pengo alisema hayo jana alipokuwa anaongoza Ibada ya Misa kuwaombea watu waliopoteza maisha kwenye milipuko ya mabomu Gongo la Mboto iliyofanika eneo la Hija Pugu, jijini Dar es Salaam.
Kadnali Pengo alisema mambo yanayofanywa na viongozi hao ni pamoja na ufisadi dhidi ya mali za umma na matokeo yake ni serikali kulazimishwa kulipa mabilioni ya fedha kwa Kampuni ya Dowans wakati huduma zinazotolewa kwa wananchi ni hafifu.Alisema sakata la Dowans ni sehemu ndogo kati ya uozo mwingi unaofanywa na vigogo Serikalini na kufichwa pasipo wananchi kuufahamu.Kardinali Pengo alisema imefikia mahali baadhi ya watu wanatenda maovu na kufunga midomo watu na baadhi ya vyombo vya habari na kwamba wako tayari kutoa uhai wa watu wanaodhani ni kikwazo kwao.
"Viongozi wanapenda tu habari za kuwafurahisha wao na wapambe wao. Wanapenda kusikia tu mambo mazuri hata kama ni ya kipumbavu. Yeremia alivyowaambia ukweli walifanya kila liwezekanalo kumuwa, mpaka wakaenda kumtupa kwenye kisima kilichokuwa na matope, ..."Mkiniuwa damu yangu iko mikononi mwenu, kwa sababu mtakuwa mmemwaga damu isiyokuwa na hatia. Nasema hivi siyo kuwa naropoka, najua ninachokisema. Kwanini nifungwe mdomo? Nasema haya leo na nyie mkiwa hapa, kama kuna chombo kitakacho kuwa na ujasiri wa kuandika mtaona yatakayotokea...
mwannchi: 13 machi 2011.
Mpevu!
That is very true! sote tuna jua role ya kanisa katika Ruanda Genocide. Halafu cha ajabu it seems anajua hayo maovu vizuri labda kuna wakubwa wameenda kuungama kwake si ayaseme badala ya kusema ooh nipo tayari kuuwawa!! for what? si atuambie na sisi? halafu kama mabobu ya Gongolamboto ni adhabu toka kwa Mungu kama anavyodai, sasa Japan nao wamefanya ufisadi gani huko kwao kwa hilo laTsunami la jana? atueleze hicho anachojua hadi kustahili kuuwawa na serikali!
Otherwise, the Government needs to respond on these accusations, they are very damaging especially this time around when they are comming from such a senior religious leader. Na kama ni kweli anazibwa mdomo hata Mh. Pinda pia amzibe mdomo? si wanatoka kumoja huko Sumbawanga si amuite amueleze badala ya kusubiri shughuli kama hiyo ya Goms? ni nafikiri somehow he is becoming a politician!!
Mwaka 1996, nilibahatika kusoma na Wanyarwanda wawili huko Uingereza - mmoja alikuwa Mtutsi na mwingine Mhutu. Kwa vile mwaka huo ulikuwa karibu na 1994 (mwaka wa mauaji ya kimbari), watu walikuwa na maswali mengi ya kuwauliza hao jamaa wawili na hasa shutuma zilizokuwa zikitolewa dhidi ya Kanisa Katoliki. Nilikuwa mmoja wa wauliza maswali na hawa jamaa walijibu hivi:
1. Vita ya Rwanda ilitokana na tofauti za kikabila (ethnic conflict) na siyo religious conflict kwani Wanyarwanda majority ni Wakatoliki na hivyo tofauti za kiimani zisingewezekana!
2. Kanisa liliingia pale waumini walipoanza kutafuta hifadhi (protection). Mfano, kama kulikuwa na parokia A na B na paroko wa A alikuwa Mtutsi na wa B Mhutu. Watusi walikimbilia kwa paroko A ili awape hifadhi na Wahutu kwa paroko B. Kama ilitokea kuwa aggressor walikuwa A dhidi ya B, basi ilichukuliwa kuwa wote waliokuwa sehemu A (including priests na masista) walidhaniwa kuwa aggressors kwa vile haikuwa rahisi kwa viongozi hao kujua kwa undani nani kaanzisha fujo kwa wenzake. Isipokuwa kama watu waliona watu wenye silaha wanatoka parokia A walihusisha uongozi wa Kanisa na mapigano hayo na siyo kwa uchaguzi wao.
3. Hivi ndivyo hao jama walivyoeleza.
4. Kama kuna mtu mwenye ushahidi jinsi gani Kanisa lilishiriki mauaji ya kimbari wakati kimsingi tatizo halikuwa la kiimani atufundishe hapa, tafadhali.
mashehe watamjibu kwa waraka wa waislam wa kumpinga pengo na kuwatetea mafisadi! Wiki haitaisha utawasikia mtandaoni
Wewe ndugu yangu mawazo yako ni finyu sana (samahani kwa lugha kali). Unataka aweke yote wazi ili ufanyeje?Mpevu!
That is very true! sote tuna jua role ya kanisa katika Ruanda Genocide. Halafu cha ajabu it seems anajua hayo maovu vizuri labda kuna wakubwa wameenda kuungama kwake si ayaseme badala ya kusema ooh nipo tayari kuuwawa!! for what? si atuambie na sisi? halafu kama mabobu ya Gongolamboto ni adhabu toka kwa Mungu kama anavyodai, sasa Japan nao wamefanya ufisadi gani huko kwao kwa hilo laTsunami la jana? atueleze hicho anachojua hadi kustahili kuuwawa na serikali!
Otherwise, the Government needs to respond on these accusations, they are very damaging especially this time around when they are comming from such a senior religious leader. Na kama ni kweli anazibwa mdomo hata Mh. Pinda pia amzibe mdomo? si wanatoka kumoja huko Sumbawanga si amuite amueleze badala ya kusubiri shughuli kama hiyo ya Goms? ni nafikiri somehow he is becoming a politician!!
Mwaka 1996, nilibahatika kusoma na Wanyarwanda wawili huko Uingereza - mmoja alikuwa Mtutsi na mwingine Mhutu. Kwa vile mwaka huo ulikuwa karibu na 1994 (mwaka wa mauaji ya kimbari), watu walikuwa na maswali mengi ya kuwauliza hao jamaa wawili na hasa shutuma zilizokuwa zikitolewa dhidi ya Kanisa Katoliki. Nilikuwa mmoja wa wauliza maswali na hawa jamaa walijibu hivi:
1. Vita ya Rwanda ilitokana na tofauti za kikabila (ethnic conflict) na siyo religious conflict kwani Wanyarwanda majority ni Wakatoliki na hivyo tofauti za kiimani zisingewezekana!
2. Kanisa liliingia pale waumini walipoanza kutafuta hifadhi (protection). Mfano, kama kulikuwa na parokia A na B na paroko wa A alikuwa Mtutsi na wa B Mhutu. Watusi walikimbilia kwa paroko A ili awape hifadhi na Wahutu kwa paroko B. Kama ilitokea kuwa aggressor walikuwa A dhidi ya B, basi ilichukuliwa kuwa wote waliokuwa sehemu A (including priests na masista) walidhaniwa kuwa aggressors kwa vile haikuwa rahisi kwa viongozi hao kujua kwa undani nani kaanzisha fujo kwa wenzake. Isipokuwa kama watu waliona watu wenye silaha wanatoka parokia A walihusisha uongozi wa Kanisa na mapigano hayo na siyo kwa uchaguzi wao.
3. Hivi ndivyo hao jama walivyoeleza.
4. Kama kuna mtu mwenye ushahidi jinsi gani Kanisa lilishiriki mauaji ya kimbari wakati kimsingi tatizo halikuwa la kiimani atufundishe hapa, tafadhali.
Kwa viongozi wa nchi hii walivyoshindwa kuelewa tatizo la watanzania, ili tuendelee tunahitaji "machafuko" zaidi kuliko "amani"
Wanatumia nguvu nyingi kutuhubiria amani na kupambana dhidi ya maandamano ambayo ni ya amani lakini hawatumii nguvu yoyote kutatua matatizo yanayopelekea maandamano