RealHustler
Member
- Nov 1, 2010
- 6
- 0
Maybe am wrong but the only person nimeona aliye right ni Halfcaste, sababu mauaji ya Rwanda hayakuwa na uhusiano na Kanisa au dini bali Ukabila. Anyway, just my two cents.
Nadhani umesahau neno la mwisho baada ya hilo lenye red yaani = 'Rwanda genocide'
Uzuri si Mnafiki huwa hajifichi kwenye ukweli.
Hakika Majimshindo;Lazima unamatatizo,
huwezi sema leo .kanisa+siasa=Rwanda???
kanisa ni watu na siasa ni watu.walewale wanaoenda makanisani ndio hawahawa wanaenda kupiga kura kuchagua viongozi waomkwani wana haki ya kukosoa kwa lolote
kwakuwa mkate ukipanda bei pia yawagusa ,umeme halikadhalika utasemaje leo hii eti wasijihusishe na siasa?kwani mbona hamkuwazuia walipoenda kupiga kura na kuwaambia ninyi mnahusika na dini siasa haziwafai.wake up unakumbuka shuka wakati kumekuchwaa
Waislamu=hawaishilawama
Maybe am wrong but the only person nimeona aliye right ni Halfcaste, sababu mauaji ya Rwanda hayakuwa na uhusiano na Kanisa au dini bali Ukabila. Anyway, just my two cents.
kwa wanaomfahamu kadinali Pengo wanasema ni mtu mwenye msimamo mkali na asiyeogopa kusema ukweli popote na kwa yeyote.najua hiyo habari imewachafua vigogo na tusubiri sinema kali baada ya kauli ya Pengo
natamani ningejua maana ya hili neno
Chadema + slaa + Kanisa Katoliki(Kadinal Pengo)= Kuendesha Nchi kwa Misingi ya Kikatoliki!
Soma vitabu vitakatifu au we ni Kingunge,sijui nanyie wapagani mna vitabu.
Mpevu!
That is very true! sote tuna jua role ya kanisa katika Ruanda Genocide. Halafu cha ajabu it seems anajua hayo maovu vizuri labda kuna wakubwa wameenda kuungama kwake si ayaseme badala ya kusema ooh nipo tayari kuuwawa!! for what? si atuambie na sisi? halafu kama mabobu ya Gongolamboto ni adhabu toka kwa Mungu kama anavyodai, sasa Japan nao wamefanya ufisadi gani huko kwao kwa hilo laTsunami la jana? atueleze hicho anachojua hadi kustahili kuuwawa na serikali!
Otherwise, the Government needs to respond on these accusations, they are very damaging especially this time around when they are comming from such a senior religious leader. Na kama ni kweli anazibwa mdomo hata Mh. Pinda pia amzibe mdomo? si wanatoka kumoja huko Sumbawanga si amuite amueleze badala ya kusubiri shughuli kama hiyo ya Goms? ni nafikiri somehow he is becoming a politician!!
hamna kitu,mkuu ila ukweli unao.Quran inapambanua sana maana ya '' mnafiki"hizo jazba ndio zinatupa wasiwasi, mnachotaka hasa nini hata mkikikosa mnakuwa wakali kiasi hiki?
hamna kitu,mkuu ila ukweli unao.Quran inapambanua sana maana ya '' mnafiki"