Hiyo kampuni lazima ifilisiwe kama kwani share holder mkubwa hapo ni fisadi Karamagi. ni lazima atueleze amezitoa wapi hizo pesa.
Dhambi ya kumtuhumu mtu kwa jambo ambalo huna ushahidi nalo ni kubwa,tatizo letu watanzania maadili yameshuka mno kiasi kwamba mtu anajihisi kumsingizia mtu ni haki yake ya kikatiba, jamani hii ni dhambi kubwa. kama mtu anaushahidi wa kutosha kuwa fulani ni fisadi siampeleke mahakamani? tuna wasomi wasiojiamini na matokeo yake ni kuongelea uvunguni