The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Waendelee kukaba tu hadi kieleweke
Niko hapa niulizen mimi polisi utadhan wanao wapiga mabomu ci watz wenzao,inatia aibu.
nimepost kuwataarifu chama cha demokrasia na maendeleo kimeshinda karagwe ila iyo post siioni. Ni habari ya kweli kabisa
matokeo yametangazwa na sherehe zimeanza kuelekea nyumbani kwa mh mbuge uko kituntu!
Mbuge anaitwa mh. Deusdedith kahangwa
Mawakala wa chadema wasitoe mguu hapo hata ikibidi wasiende ****** au kunywa soda kama mkwere alivyo jibu waandishi huko msoga eti ukidanganywa kwenda kunywa soda huku nyuma wenzio waaaharibu!ha ha haa mkwere kumbe anakubali kweli wana kwiba!
CCM uwepo usiwepo ni sawa tu. Maana wao 1 ni 10000 na 10000 ni 1. Huwajui