Mimi nimeuliza swali hili kwa machungu makubwa sana, wakulima wa karagwe pamoja na kuangaika katika kuudumia kahawa, hawapewi chochote mfano pembejeo za kilimo, lakini pamoja na kuhudumia kahawa wenyewe baada ya kupata kahawa hiyo wanapangiwa kahawa na Serikali.Hapa karagwe kilo moja inauzwa wastani kwa shs.1400 wakati kwa Nchi ya Jirani Uganda ni TShs.2500-3000/=
Ukichunguza kwa umakini kweli hakuna jitihada za kumsaidia mkulima wa jembe la mkono.
Cha kusikitisha wilaya nzima pamoja na juhudi nzima za serikali za kuimiza kilimo kwanza, Hakuna hata treckita moja au power tiller moja iliyogawiwa kwa wakulima.
Ukichunguza kwa umakini kweli hakuna jitihada za kumsaidia mkulima wa jembe la mkono.
Cha kusikitisha wilaya nzima pamoja na juhudi nzima za serikali za kuimiza kilimo kwanza, Hakuna hata treckita moja au power tiller moja iliyogawiwa kwa wakulima.