Kapt. Mkuchika na Maagizo yake!

Actually mimi naona kuwa na ringtone ya Mungu Ibariki ni moja ya njia za kuonyesha uzalendo wako kwa nchi yako. Lakini hili lijamaa halioni hilo.....jamaa shamba kweli yaani....

Yaani hili ndio ovyo kabisa, halafu linatoa amri linafikiri tupo jeshini hapa, kero kubwa sana haya majamaa!
 
Yaani hili ndio ovyo kabisa, halafu linatoa amri linafikiri tupo jeshini hapa, kero kubwa sana haya majamaa!

Haya majamaa we acha tu.....saa ingine sijui yanakuwaga na funza kichwani....aaaaaghhhhh....yanaboa sana....bora yatoke madarakani
 
Hivi huu ni wimbo wa Taifa au wa Serikali? Sasa wakinikuta mwenyewe niko msalani na simu inaingia na wimbo unasema "Ibariki Tanzania na Watu wake" watanichukulia hatua gani. Hivi mlevi hastahili kupulizia chimpumu yake huku wimbo wa Taifa unapigwa? Mbona huwa wanapigiana saluti kilabuni? Na saluti ziache kupigwa!
 
He is going nut I thought it is one of the ways mtu anaonyesha uzalendo wake?
 
Sasa adhabu ya wale ambao watakuwa na nyimbo ya Taifa katika simu zao za mkononi itakuwa ipi? Kifungo cha miaka 5 na adhabu ngumu? Kama mimi ningekuwa Rais huyu ningemjadili hadharani kuhusu hili na kumuuliza ni nani aliyempa ruhusa ya kutoa kauli aliyoitoa na kuwaambia atanzania ni ruhusa kwa na wimbo wa Taifa kwenye simu zao. JK hana uwezo wowote wa kufanya maamuzi na wananchi wakija juu kuhusu hili basi ataunda tume nyingine ili ichunguze kwa nini huyu njemba ametoa kauli hiyo.
 
Tanzania inatakiwa iongozwe kwa sheria na si amri ya Waziri, Mkuu wa Mkoa au nani.
wazee wengineo nao, mie nilifikiri unapoongeza na busara zinaongezeka.
Naamini aliposema kuwa Tanzania inahitaji journalists waliosomea journalism alisahau kusema Tanzania inahitaji Mawaziri waliosomea leadership pamoja na sheria.
 
Tatizo Watanzania hatuna utamaduni wa kuonyesha uzalendo wetu....sasa mijitu kama hili li Mkuchika inakuwa inapata culture shock ya aina fulani hivi inapoona vijana au watu tu kwa ujumla wanapoanza kuwa patriotic na ku display patriotism kwa njia mbalimbali kwa kutumia teknolojia. Sasa sijui jitu kama hili likiona bikini za bendera ya Tanzania zinauzwa madukani si linaweza likazimia kabisa.....Lol
 
Tatizo Watanzania hatuna utamaduni wa kuonyesha uzalendo wetu....sasa mijitu kama hili li Mkuchika inakuwa inapata culture shock ya aina fulani hivi inapoona vijana au watu tu kwa ujumla wanapoanza kuwa patriotic na ku display patriotism kwa njia mbalimbali kwa kutumia teknolojia. Sasa sijui jitu kama hili likiona bikini za bendera ya Tanzania zinauzwa madukani si linaweza likazimia kabisa.....Lol

Zamani kulikuwa hakuna ruhusa kabisa kuwa na kitu chochote chenye ishara ya Bendera ya Taifa. Siku hizi kuna T-shirts, magauni, kofia, bendera ndogo za ndani ya gari, sticker n.k sasa sijui aliposema kuwa wizara inaangalia kutengeneza muswada wa kutumia bendera ya Taifa kama mataifa mengine. It's too late, watu walishatumia hivyo vitu mapema hata kabla Muswada haujawekwa kwenye karatasi. Sasa wimbo na bendera ya Taifa kuna tofauti gani katika kulindwa na serikali? waache watu waonyeshe Patriotic yao.
Akiona bendera iliyomo kwenye gari yangu nafikiri nitapelekwa segerea kabla sijapelekwa Mahakamani. Maana yangu ni kama anayotumia JK kwenye gari lake (Ngao ya Bibi na Bwana)
.
 
As if having made god sacred and untouchable is not enough, they are trying to deify the state. Just like Mao, Stalin and Hitler.

This is a psychological tact, make the state abnormally mysterious and let everybody hold it in awed regard, then the president, like the pope, can claim infallibility and his ministers, the cardinals, can plunder and pillage at will and whim.

What a ludacris lampoon looking lackadaisical law-bending lunatic of a laughingstock!
 
Wajameni,
Hivi wakikukamata na RINGTON yenyewe ni FUPI na ukasema kuwa HUU NI WIMBO WA TAIFA WA AFRICA YA KUSINI au Sijui Zambia? Watakufanyaje? Au kusikiliza wimbo wa TAIFA wa Taifa jingine duniani ni dhambi? Sijui hili THR lilinyimwa ASUBIHI?
 
Hivi hakuna matatizo muhimu yanayohusu Wizara ya Mkuchika? Hivi anataka kutuambia hizi ndizo priorities zake?
 
.....Bora wakatali kuliko kuwa kama wale waliokwenda Mauritius!!!

Uliona wapi wachezaji 10 viongozi wa msafara 20????

Kipanga,
Tembea uone ndugu yangu. Huko SOMALIA kuna rekodi za aina nyingi tu. Kama ni kuona basi TUMEIONA Tanzania. Na Somalia, kwenye watu WAWILI basi kuna VYAMA VYA SIASA VITATU.

Siku moja nikiwa vichochoroni nchi za watu, ghafla nikaona AFRICA mbele yangu. Yes, jamaa wameibeba Africa nzima. Kuangalia nguo zao nikaona Wakenya. NikawasalimiaHAMJAMBO NYIE WAFUKUZA UPEPO? Jamaa walikuwa wengi aisee. Ila matokeo yake unayaona. Na sisi siku moja mambo yatakuwa MSWANO tu na kupeleka wachezaji 15 na viongozi 17.
 
Mtu unaweza ukajipendekeza na ikaelekea ,lakini hivi huyu ndio tumuone ana uchungu na nchi hii ,yaani kuna kuumwa na kuugua,na huyu asipowahiwa mara moja ,,,,,!
Wimbo wa taifa baada ya kuona fahari kuwa wananchi wanauenzi wimbo wa taifa lao yeye anaona wimbo huo kama kitu kinachoabudiwa ,hivi tumueleweje huyu mahuluku ?
Bendera za nchi watu wanafanya chupi,wanafanya mapochi ya matiti zile wanaitaga sidilia na mambo mengi tu,au hili hajaliona katika kutembea kwake huko duniani hajaona mambu haya ?
Sasa kama ametaka kupitisha azimio la kutumia bendela ya nchi kama zinavyotumika nchi nyengine hivi ataweza kuyavumilia mambo ya bendela ,yaani hata haijulikani kama anasema au anazungumza ,sijui tumuitage limbukeni ,yaani amesafili na kuona mambu ya bendela anakuja hapa anakataza mambu ya wimbo wa Taifa anahitaji ya Bendela ,ivi atavumilia kweli huyu akiona mtu anaogelea pale feli huku amevaa kachupi kabendela ya Tanzania ,eti jamani kwa uchungu si atapata wazimu mtu huyu ,maana kwa kauli yake hiyo inaonyesha kama zinataka kufyetuka halafu si kuna mjeshi alikamatwa na unga kupitia mambo ya michezo kule Madagasca au sijui Comoro ,isije kuwa na huyu yumo maana kama havuti basi anauza.
 
Kipanga,
Tembea uone ndugu yangu. Huko SOMALIA kuna rekodi za aina nyingi tu. Kama ni kuona basi TUMEIONA Tanzania. Na Somalia, kwenye watu WAWILI basi kuna VYAMA VYA SIASA VITATU.

Siku moja nikiwa vichochoroni nchi za watu, ghafla nikaona AFRICA mbele yangu. Yes, jamaa wameibeba Africa nzima. Kuangalia nguo zao nikaona Wakenya. NikawasalimiaHAMJAMBO NYIE WAFUKUZA UPEPO? Jamaa walikuwa wengi aisee. Ila matokeo yake unayaona. Na sisi siku moja mambo yatakuwa MSWANO tu na kupeleka wachezaji 15 na viongozi 17.
... Nimekubali Sikonge,
Ngoja warudi usikie nyimbo zao Oohh!!! mara kulikuwa na moshi mwingi vijana wameshindwa kukimbia, mara bara bara zina mashimo mengi, maji ya China sio vugu vugu waogeleaji walikuwa wanasikia baridi mwisho wao utasikia tumeitangaza Tanzania na Mlima K'njaro!!!....Kila mtu ana mabegi 8.....Hivi sio ufisadi huu jamani???
 
... Nimekubali Sikonge,
Ngoja warudi usikie nyimbo zao Oohh!!! mara kulikuwa na moshi mwingi vijana wameshindwa kukimbia, mara bara bara zina mashimo mengi, maji ya China sio vugu vugu waogeleaji walikuwa wanasikia baridi mwisho wao utasikia tumeitangaza Tanzania na Mlima K'njaro!!!....Kila mtu ana mabegi 8.....Hivi sio ufisadi huu jamani???
Hii naona itakuwa Top topic katika mwezi huu ,dah ,yaani nchi nyengine zina Mawaziri wanazungumza mambo yakaeleweka na wananchi kuyatia akilini lakini hapa Tanzania sijui tumekosa nini kwa Mungu , yaani hata kusema ndio chaguo la Mungu basi naona utakuwa unapata zambi,yaani Mungu ndio katuchagulia watu wa ajabu ajabu kabisa , aisee ,nchi zenye Deokrasia basi huyu Waziri alikuwa ajiuzulu moja kwa moja ,hafai kuwa Waziri ,inaonyesha huyu anaichukia Tanzania ile mbaya ,hapendi kusikia hata huu wimbo wetu wa Taifa ,sasa aulizwe wimbo aliousikia kwenye hizo simu ni wa Africa ya Kusini au Zambia au wa Afrika ?Jamani waandishi na wana habari mtwangeni huyu zezeta hili suali.
 
Jamaa angejua anapingana na kauli ya rais wake aliyemteua! Wakati JK anatoa hotuba yake ya kwanza kwa Bunge la Jamhuri alisema anataka kurudisha uzalendo kwa watanzania kutumia alama na viashirio vya nchi bila kubughudhiwa! Sasa leo huyu jamaa akisema kwamba eti ringtone ya wimbo wa taifa ni kuudhalilisha anayatoa wapi haya!!! Anasema na kuhusu zile zilizopo kwenye website kama ya serikali ambapo ukiifungua tu wimbo unaimba!!! Nafikiri rais anatakiwa kumuwajibisha huyu mpuuzi
 
Jamani,
Maajabu yako mengi dunia hii. Kuna nchi nasikia kulikuwa na RAIS na PM wake MAPACHA. Ukisikia Wanigeria wanavyolaani kwao basi unasema kuwa sisi si kitu. Huko kuna watu kama DIKO, huyu alikomba kweli kweli na kama kukomba basi RA inabidi arudi shule. Akina Chenge ni watoto wadogo sana kwa Maboboo. Nigeria pia huweza kwenda sehemu na kuzamia timu nzima, kwi kwiiii...
Si kwamba nasema sisi tukae kimya. Ila tusijione kuwa sisi ni WAMWISHO. Hii pia huanza kutujenga Inferiority complex. Hata USA na msoto wao na kuaibika huko New Orlean, bado wako PROUD na utawasikia USA, USA....
Tupingane na WAPUUZI kama huyu na huku tukiwa PROUD to be Tz-n. Mambo ni kama dereva wa BUS refu, unaangalia juu, kulia na kushoto....
 
Back
Top Bottom