wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
Naomba nikukumbushe umeupokea mkoa huu kutoka kwa mama mafole ulikuwa unashika nafasi tano za juu kitaifa. Lkn baada ya wewe kuupokea na kuingiza madudu yako ( uzinzi, ubabe, ubabaishaji, ukabila , majungu na yanayo fanana na hayo) mkoa umekuwa ukiporomoka mwaka baada ya mwaka hadi sasa nafasi ya 15 aibu!!! Unataka wanamkoa waandamane kama misri ndio ujue umeshindwa?