Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,459
- 4,229
Beki wa kisiki wa Simba, Shomari Kapombe ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya JKT Orjoro ya Arusha kutokana na kuumizwa mguu na mshambuliaji wa Yanga Said Bahanuzi katika mchezo uliochezwa usiku wa Jumatano iliyopita.
Wachezaji wengine wa Simba walio majeruhi ni Mrisho Ngassa na Haruna Shamte.
Wachezaji wengine wa Simba walio majeruhi ni Mrisho Ngassa na Haruna Shamte.