bwanashamba
Senior Member
- Mar 29, 2010
- 193
- 3
demu wangu kapata kazi,kazi yenyewe nimemtafutia mimi
sasa nyodo zishaanza nimfanyeje?
sasa nyodo zishaanza nimfanyeje?
Achana naye.demu wangu kapata kazi,kazi yenyewe nimemtafutia mimi
sasa nyodo zishaanza nimfanyeje?
demu wangu kapata kazi,kazi yenyewe nimemtafutia mimi
sasa nyodo zishaanza nimfanyeje?
Well said mamaa! inawezekana kabsaa jamaa ameanza kujifeel inferior. Aje hapa aseme ni nyodo zipi ili tujue pa kuanzia!! inawezekana jamaa alizoe kubipiwa ili apige sasa Demu anapiga kabsaa msela anaona nyodo hizi.Lol!Bibi na bwana wakigombana chukua jembe ukalime,wakipata chukua kapu ukavune.Siwezi kukwambia ukimbilie kumtosa kwa sababu this is one side story.Inawezekana kuna vitu vingine vimejificha kati yenu.Na hujatueleza kwa uwazi ni nyodo za aina gani na jitihada za aina gani umezichukua.Na kama kweli MNAPENDANA?
Sisi wanadamu tuna matatizo mengi ya kisaikolojia
demu wangu kapata kazi,kazi yenyewe nimemtafutia mimi
sasa nyodo zishaanza nimfanyeje?
Dawa ya mwanamke ni aendelee kuwa tegemezi ndio anashika adabu.
i find this statement very degrading and disrespectful to women!!!!Dawa ya mwanamke ni aendelee kuwa tegemezi ndio anashika adabu.
Bwanashamba..umekimbia ama ushapata solution!??