malisak
JF-Expert Member
- Mar 16, 2006
- 694
- 772
Nina jirani yangu alikuja kuomba ushauri kwangu(true story), hakumuona mumewe siku 3 nyumbani na simu haipatikani, bibie pressure juu kibinadamu.
Mwanaume ni fundi mitambo, kawaida huwa anafanya kazi mpaka usiku mwingi hata muda mwengine kwenda mikoani ila kwa taarifa maalum.
Sasa bwana yule siku 3 hajaonekana isistoshe kaondoka na shati la blue akiwa amejipulizia manukato aina ya blue for men,aliporudi amerudi na shati la rangi ya hudhurungi na ananukia perfume ya blue lady shorsty akazimia hapohapo alipomwona na jinsi alivyong'aa.kuzinduka mwanaume amemtumbulia mijicho kama ndubwi kwa tahayuri hata la kusema hana shoga akalianzisha timbwili la haja.
Sasa nikamsahauri asiondoke kwani watoto wake ni wadogo na isitoshe hana japo kibarua kitakachomfanya awatunze na bwana anaendeleza libeneke je nimekosea kumshauri?,ungekua wewe ungefanyaje?.(tukio limetokea leo kama siku ya 5 hv)
Mwanaume ni fundi mitambo, kawaida huwa anafanya kazi mpaka usiku mwingi hata muda mwengine kwenda mikoani ila kwa taarifa maalum.
Sasa bwana yule siku 3 hajaonekana isistoshe kaondoka na shati la blue akiwa amejipulizia manukato aina ya blue for men,aliporudi amerudi na shati la rangi ya hudhurungi na ananukia perfume ya blue lady shorsty akazimia hapohapo alipomwona na jinsi alivyong'aa.kuzinduka mwanaume amemtumbulia mijicho kama ndubwi kwa tahayuri hata la kusema hana shoga akalianzisha timbwili la haja.
Sasa nikamsahauri asiondoke kwani watoto wake ni wadogo na isitoshe hana japo kibarua kitakachomfanya awatunze na bwana anaendeleza libeneke je nimekosea kumshauri?,ungekua wewe ungefanyaje?.(tukio limetokea leo kama siku ya 5 hv)