TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,887
- 11,282
Hahahahaha! Nyie walevi bana. Sio taarabu hiyo. Tatizo mmelemazwa na Malumbano ya Mabongo fleva....
Nimeharibikiwa siyo? Huko nyuma nilikuwaje huko nyuma?
hahahaaa... huku nilipo hakuna pombe mkuu, niko hijja!!!
mkuu tartiiibu ntakua nakuona traventine unapanga foleni kwenda kumuona mzee Yusuf... balaah gani hili wallahi