jana kikwete hakuwa dodoma..na jana hiyo usiku nilisema kwenye thread ile iliyosema jk atua dodoma...ile thread ilijaza sumu sana na gazeti la tz daima wakatoa habari pale na kuchapicha gazetini
wewe ukweli unaufahamu? kwenye taarifa ya rweyemamu hakuna chochote zaidi ya kanusho. Hivo taarifa ya jana ni sahihi ama vinginevyo. Tusiposikia mawaziri wamajiuzulu hiyo kesho basi tutathibitisha kwamba wewe, kurugenzi ya ikulu ni waongo wakubwa.