Napatwa na wasiwasi na kila kukicha nakubaliana na wadau waliosema makinda kawekwa kukidhi matakwa ya watu, ameshindwa kwa njia zote kuliongoza bunge, sidhani kama ana uelewa ni wakati gani mbunge anaweza kuomba mwongozo wa speaker, sidhani kama anajua wakati wa taarifa ni upi na sijui kama anajua utaratibu mzima wa kuendesha bunge lenye wabunge wenye itikadi tofautitouti, na sijui kama anakidhi vigezo vya mabunge ya nchi za jumuiya ya madola!
,
nilishangaa sana jana nilipoona mnyika anaomba mwongozo wa speaker then anakataa, sikujua ni kigezo kipi alikitumia lakini tuyaache hayo, kilichonikera zaidi ni mbunge wa same mashariki MAMA ANNIE KILANGO, kadharirisha wapiga kura wa same, alipewa muda wa KUCHANGIA MSWADA WA UUNDWAJI WA TUME YA KUTENGENEZA KATIBA MPYA!CHA AJABU ALIANZA NA MIPASHO, KEJELI KWA WAPINZANI, KUWASII WANACCM A NA B WANYAMAZE NA KUWAPUUZA, WAMEZOE ACHANA NAO NA SPEAKER ALIMUACHA AENDELEE NA MIPASHO YAKE BILA TARATIBU ZA BUNGE KUFUATWA!BUNGE GANI HILI LISILOKIDHI MATWAKWA YA WAPIGA KURA NA KUENDELEZA SIASA ZA VIKUNDI NA ITIKADI ZA VYAMA, BUNGE GANI HILI LILILOKOSA MWELEKEO!PESA ZETU MNAKULA TU NA MATOKEO YAKE HATUONI!TUMECHOKA NA HILI BUNGE NA MJUE NDO MWAKA WA KWANZA UMEISHA WA HILI BUNGE LA KUMI BADO MIAKA 4, JE TUAFIKA??
,
nilishangaa sana jana nilipoona mnyika anaomba mwongozo wa speaker then anakataa, sikujua ni kigezo kipi alikitumia lakini tuyaache hayo, kilichonikera zaidi ni mbunge wa same mashariki MAMA ANNIE KILANGO, kadharirisha wapiga kura wa same, alipewa muda wa KUCHANGIA MSWADA WA UUNDWAJI WA TUME YA KUTENGENEZA KATIBA MPYA!CHA AJABU ALIANZA NA MIPASHO, KEJELI KWA WAPINZANI, KUWASII WANACCM A NA B WANYAMAZE NA KUWAPUUZA, WAMEZOE ACHANA NAO NA SPEAKER ALIMUACHA AENDELEE NA MIPASHO YAKE BILA TARATIBU ZA BUNGE KUFUATWA!BUNGE GANI HILI LISILOKIDHI MATWAKWA YA WAPIGA KURA NA KUENDELEZA SIASA ZA VIKUNDI NA ITIKADI ZA VYAMA, BUNGE GANI HILI LILILOKOSA MWELEKEO!PESA ZETU MNAKULA TU NA MATOKEO YAKE HATUONI!TUMECHOKA NA HILI BUNGE NA MJUE NDO MWAKA WA KWANZA UMEISHA WA HILI BUNGE LA KUMI BADO MIAKA 4, JE TUAFIKA??