Kanuni zipi makinda anazitumia? Je Anne Malecela alisimama kuchangia mjadala upi?

luckman

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,211
371
Napatwa na wasiwasi na kila kukicha nakubaliana na wadau waliosema makinda kawekwa kukidhi matakwa ya watu, ameshindwa kwa njia zote kuliongoza bunge, sidhani kama ana uelewa ni wakati gani mbunge anaweza kuomba mwongozo wa speaker, sidhani kama anajua wakati wa taarifa ni upi na sijui kama anajua utaratibu mzima wa kuendesha bunge lenye wabunge wenye itikadi tofautitouti, na sijui kama anakidhi vigezo vya mabunge ya nchi za jumuiya ya madola!
,
nilishangaa sana jana nilipoona mnyika anaomba mwongozo wa speaker then anakataa, sikujua ni kigezo kipi alikitumia lakini tuyaache hayo, kilichonikera zaidi ni mbunge wa same mashariki MAMA ANNIE KILANGO, kadharirisha wapiga kura wa same, alipewa muda wa KUCHANGIA MSWADA WA UUNDWAJI WA TUME YA KUTENGENEZA KATIBA MPYA!CHA AJABU ALIANZA NA MIPASHO, KEJELI KWA WAPINZANI, KUWASII WANACCM A NA B WANYAMAZE NA KUWAPUUZA, WAMEZOE ACHANA NAO NA SPEAKER ALIMUACHA AENDELEE NA MIPASHO YAKE BILA TARATIBU ZA BUNGE KUFUATWA!BUNGE GANI HILI LISILOKIDHI MATWAKWA YA WAPIGA KURA NA KUENDELEZA SIASA ZA VIKUNDI NA ITIKADI ZA VYAMA, BUNGE GANI HILI LILILOKOSA MWELEKEO!PESA ZETU MNAKULA TU NA MATOKEO YAKE HATUONI!TUMECHOKA NA HILI BUNGE NA MJUE NDO MWAKA WA KWANZA UMEISHA WA HILI BUNGE LA KUMI BADO MIAKA 4, JE TUAFIKA??
 
Kwa wadau wa bongo movies,kupata ukweli juu ya hulka ya spika Anna Makinda,angalia move ya Steven Kanumba iitwayo Moses.
 
Anajua sana huyo bibi, sema anafanya makusudi ili kuwakomoa wapinzani.
 
sidhani kama huu ni muda wa kuleta siasa za taka maji!huu si muda wa kuleta mchezo kwenye mambo ya msing! huu si mda wa kukomoana hali kodi unakula za wananchi huu ni mda wa kukaa chini, kuweka pembeni tofautizetu za kidini na kisiasa na kujadili mustakabali wa nchi yetu!
 
Napatwa na wasiwasi na kila kukicha nakubaliana na wadau waliosema makinda kawekwa kukidhi matakwa ya watu, ameshindwa kwa njia zote kuliongoza bunge, sidhani kama ana uelewa ni wakati gani mbunge anaweza kuomba mwongozo wa speaker, sidhani kama anajua wakati wa taarifa ni upi na sijui kama anajua utaratibu mzima wa kuendesha bunge lenye wabunge wenye itikadi tofautitouti, na sijui kama anakidhi vigezo vya mabunge ya nchi za jumuiya ya madola!
,
nilishangaa sana jana nilipoona mnyika anaomba mwongozo wa speaker then anakataa, sikujua ni kigezo kipi alikitumia lakini tuyaache hayo, kilichonikera zaidi ni mbunge wa same mashariki MAMA ANNIE KILANGO, kadharirisha wapiga kura wa same, alipewa muda wa KUCHANGIA MSWADA WA UUNDWAJI WA TUME YA KUTENGENEZA KATIBA MPYA!CHA AJABU ALIANZA NA MIPASHO, KEJELI KWA WAPINZANI, KUWASII WANACCM A NA B WANYAMAZE NA KUWAPUUZA, WAMEZOE ACHANA NAO NA SPEAKER ALIMUACHA AENDELEE NA MIPASHO YAKE BILA TARATIBU ZA BUNGE KUFUATWA!BUNGE GANI HILI LISILOKIDHI MATWAKWA YA WAPIGA KURA NA KUENDELEZA SIASA ZA VIKUNDI NA ITIKADI ZA VYAMA, BUNGE GANI HILI LILILOKOSA MWELEKEO!PESA ZETU MNAKULA TU NA MATOKEO YAKE HATUONI!TUMECHOKA NA HILI BUNGE NA MJUE NDO MWAKA WA KWANZA UMEISHA WA HILI BUNGE LA KUMI BADO MIAKA 4, JE TUAFIKA??

Wewe Huoni , Anna Makinda ana muruhusu Anna Malechera, hapa kuna tatizo!!
Anna Malechera amekuwa ana pambambana na Watu waliombaka Dodoma na sio mafisadi kama anavyodai!!
Angalia hakuna asiyejua kuwa Anna Makinda kawekwa na Mafisadi sasa inakuwaje amuruhusu Anna Malchera??


Hawa wote ni zao la ufisadi!!!
Anna Malechera alibeba pesa za EPA kutoka kwa Jeet Patel akaporwa na Mtandao wa Lowasana Rostam ambao ndio wamemuweka Anna Makinda !!

Hapa kuna Mchezo tunatakiwa kutafakari sana!!!
 
Napatwa na wasiwasi na kila kukicha nakubaliana na wadau waliosema makinda kawekwa kukidhi matakwa ya watu, ameshindwa kwa njia zote kuliongoza bunge, sidhani kama ana uelewa ni wakati gani mbunge anaweza kuomba mwongozo wa speaker, sidhani kama anajua wakati wa taarifa ni upi na sijui kama anajua utaratibu mzima wa kuendesha bunge lenye wabunge wenye itikadi tofautitouti, na sijui kama anakidhi vigezo vya mabunge ya nchi za jumuiya ya madola!
,
nilishangaa sana jana nilipoona mnyika anaomba mwongozo wa speaker then anakataa, sikujua ni kigezo kipi alikitumia lakini tuyaache hayo, kilichonikera zaidi ni mbunge wa same mashariki MAMA ANNIE KILANGO, kadharirisha wapiga kura wa same, alipewa muda wa KUCHANGIA MSWADA WA UUNDWAJI WA TUME YA KUTENGENEZA KATIBA MPYA!CHA AJABU ALIANZA NA MIPASHO, KEJELI KWA WAPINZANI, KUWASII WANACCM A NA B WANYAMAZE NA KUWAPUUZA, WAMEZOE ACHANA NAO NA SPEAKER ALIMUACHA AENDELEE NA MIPASHO YAKE BILA TARATIBU ZA BUNGE KUFUATWA!BUNGE GANI HILI LISILOKIDHI MATWAKWA YA WAPIGA KURA NA KUENDELEZA SIASA ZA VIKUNDI NA ITIKADI ZA VYAMA, BUNGE GANI HILI LILILOKOSA MWELEKEO!PESA ZETU MNAKULA TU NA MATOKEO YAKE HATUONI!TUMECHOKA NA HILI BUNGE NA MJUE NDO MWAKA WA KWANZA UMEISHA WA HILI BUNGE LA KUMI BADO MIAKA 4, JE TUAFIKA??
Je unamkumbuka Samweli Sitta ???
Huyu amep[ingwa Wazi wazi na kumupa mashart ya Ushoga kuwa safari hii Spika ni Mwanamke sasa mtego huu ukawa hatari kwa Kwa Sitta maana angetumbukia kwenye Ushoga!!
 
Jipeni moyo, mwisho wa uovu ni aibu. Unadhani nchi hii haitarudi mikoni mwa wenyewe? Historia inaonyesha kuwa kila kiendacho juu hushuka chini hali kadhalika mambo na uchafu wote unaofanywa hapa nchini utakwisha. Shetani hawezi kukufanikishia mambo yako na mwisho ashindwe kukuaibisha, ni lazima akuaibishe tu kama itakavyokuwa kwa watawala wetu hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom