Kanuni za kukufanya wewe uendelee kufanikiwa kuwa maskini

Dio

JF-Expert Member
Feb 8, 2011
1,274
158




Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa mambo makuu na ya ajabu anayoendelea kututendea.
Njia zifuatazo ukizifuatisha kwa makini nilazima utaendelea kufanikiwa kuwa maskini nazo ni
1- usipende kuamka mapema,kwani uamke mapema unakwenda wapi?wakati asubuh kuna foleni barabarani
2-ukipata pesa tumia tu,kwani kesho itajisumbukia yenyewe.
3-usiwaze sana kupeleka hela bank
4-usijiusishe na mambo ya elimu na biashara.
5-usifikirie kuanzisha biashara subiri mpaka malaika ashuke akupe mtaji.
6-laumu katika kila kitu,we laumu tu,laumu serkali,laumu watu,laumu viongozi wa dini nakadhalika.
7-Tumia zaidi mapato yako
8-fanya ushindanh katika mavazi ya bei.
9-jinunulie au kopa gari ambalo linazidi mshahara wako mara tatu.
10-wape watoto kile kitu ambacho wanakihitaji kwani wewe ni mzazi/mlezi mzuri.
Sasa kama wewe mjanja utagundua ninini nimemaanisha,kama unazo njia nyingine unaweza ukaniandikia nikaziandika,tafadhali tafadhali kama una akili timamu usifuatishe hata njia moja wapo hapo,kwani nimeandika ili kukumbushana kama kuna njia yeyote kati ya hzo kumi ulikuwa unafanya uiache,na nia yangu yakuandika haya nikutaka mimi na wewe kufanya kinyume cha hzo.
source GSHAYO
 
kwanza napenda kumshukuru mungu kwa mambo makuu na ya ajabu anayoendelea kututendea.
Njia zifuatazo ukizifuatisha kwa makini nilazima utaendelea kufanikiwa kuwa maskini nazo ni
1- usipende kuamka mapema,kwani uamke mapema unakwenda wapi?wakati asubuh kuna foleni barabarani
2-ukipata pesa tumia tu,kwani kesho itajisumbukia yenyewe.
3-usiwaze sana kupeleka hela bank
4-usijiusishe na mambo ya elimu na biashara.
5-usifikirie kuanzisha biashara subiri mpaka malaika ashuke akupe mtaji.
6-laumu katika kila kitu,we laumu tu,laumu serkali,laumu watu,laumu viongozi wa dini nakadhalika.
7-tumia zaidi mapato yako
8-fanya ushindanh katika mavazi ya bei.
9-jinunulie au kopa gari ambalo linazidi mshahara wako mara tatu.
10-wape watoto kile kitu ambacho wanakihitaji kwani wewe ni mzazi/mlezi mzuri.
Sasa kama wewe mjanja utagundua ninini nimemaanisha,kama unazo njia nyingine unaweza ukaniandikia nikaziandika,tafadhali tafadhali kama una akili timamu usifuatishe hata njia moja wapo hapo,kwani nimeandika ili kukumbushana kama kuna njia yeyote kati ya hzo kumi ulikuwa unafanya uiache,na nia yangu yakuandika haya nikutaka mimi na wewe kufanya kinyume cha hzo.
Source gshayo
yah, ila hapo kwenye red sijakupata
 




Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa mambo makuu na ya ajabu anayoendelea kututendea.
Njia zifuatazo ukizifuatisha kwa makini nilazima utaendelea kufanikiwa kuwa maskini nazo ni
1- usipende kuamka mapema,kwani uamke mapema unakwenda wapi?wakati asubuh kuna foleni barabarani
2-ukipata pesa tumia tu,kwani kesho itajisumbukia yenyewe.
3-usiwaze sana kupeleka hela bank
4-usijiusishe na mambo ya elimu na biashara.
5-usifikirie kuanzisha biashara subiri mpaka malaika ashuke akupe mtaji.
6-laumu katika kila kitu,we laumu tu,laumu serkali,laumu watu,laumu viongozi wa dini nakadhalika.
7-Tumia zaidi mapato yako
8-fanya ushindanh katika mavazi ya bei.
9-jinunulie au kopa gari ambalo linazidi mshahara wako mara tatu.
10-wape watoto kile kitu ambacho wanakihitaji kwani wewe ni mzazi/mlezi mzuri.
Sasa kama wewe mjanja utagundua ninini nimemaanisha,kama unazo njia nyingine unaweza ukaniandikia nikaziandika,tafadhali tafadhali kama una akili timamu usifuatishe hata njia moja wapo hapo,kwani nimeandika ili kukumbushana kama kuna njia yeyote kati ya hzo kumi ulikuwa unafanya uiache,na nia yangu yakuandika haya nikutaka mimi na wewe kufanya kinyume cha hzo.
source GSHAYO

Chukulia mfanyakazi anayepata mshahara wa 800,000/= mfano, unamaanisha anunue au akope gari lenye thamani chini ya 2,400,000/= ??? Ni gari gani la kuaminika mtu utalipata kwa 2,400,000/= ? Na kwanini iwe mara 3?
Haileti maana hii.
 
Chukulia mfanyakazi anayepata mshahara wa 800,000/= mfano, unamaanisha anunue au akope gari lenye thamani chini ya 2,400,000/= ??? Ni gari gani la kuaminika mtu utalipata kwa 2,400,000/= ? Na kwanini iwe mara 3?
Haileti maana hii.

Wewe umepiga hesabu kwa mshahara huo vipi kama mtu analipwa zaidi ya hiyo hela uliyo list wewe ??
 
ili ufanikiwe kuwa masikini......dah! napata tabu kidogo umasikini ni kufanikiwa? any way kulaumu viongozi ni sababu ya kuwa masikini?
 
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa mambo makuu na ya ajabu anayoendelea kututendea.
Njia zifuatazo ukizifuatisha kwa makini nilazima utaendelea kufanikiwa kuwa maskini nazo ni
1- usipende kuamka mapema,kwani uamke mapema unakwenda wapi?wakati asubuh kuna foleni barabarani
2-ukipata pesa tumia tu,kwani kesho itajisumbukia yenyewe.
3-usiwaze sana kupeleka hela bank
4-usijiusishe na mambo ya elimu na biashara.
5-usifikirie kuanzisha biashara subiri mpaka malaika ashuke akupe mtaji.
6-laumu katika kila kitu,we laumu tu,laumu serkali,laumu watu,laumu viongozi wa dini nakadhalika.
7-Tumia zaidi mapato yako
8-fanya ushindanh katika mavazi ya bei.
9-jinunulie au kopa gari ambalo linazidi mshahara wako mara tatu.
10-wape watoto kile kitu ambacho wanakihitaji kwani wewe ni mzazi/mlezi mzuri.
Sasa kama wewe mjanja utagundua ninini nimemaanisha,kama unazo njia nyingine unaweza ukaniandikia nikaziandika,tafadhali tafadhali kama una akili timamu usifuatishe hata njia moja wapo hapo,kwani nimeandika ili kukumbushana kama kuna njia yeyote kati ya hzo kumi ulikuwa unafanya uiache,na nia yangu yakuandika haya nikutaka mimi na wewe kufanya kinyume cha hzo.
source GSHAYO


mimi nimekusoma mkuu sijui ni kipi kigumu apo kwa great thinkers kuelewa??!!
Dahh
 
Naongeza moja, PENDELEA NA ENDELEA KUHONGA WANAWAKE/WANAUME KILA UNAPOWATAKA!!! PIA USIFANYE FINANCIAL PLANNING YOYOTE!
 
Back
Top Bottom