Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
- Thread starter
- #21
Ina maana waliosimamia uchaguzi hawakuijua hiyo kanuni?
Hiyo kaka haifanyi kazi. Angalia mfano wa jimbo la Kigamboni 2010:
Kwamujibu wa matokeo yaliyotangazwa jana jioni, Kigamboni: Dk. Faustine Ndugulilealishinda kwa kura 4,251, Issa Mangungu kura 2,420 na Mariam Kambi kura 2,377.