Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Utaratibuwa kuhesabu kura na kutangaza matokeo
21 (a) Kazi ya kuhesabu kura itafanyika tu wakati ambapo kuna mwanga wakutosha na wa kuaminika na mahaliambapo kuna ulinzi na usalama madhubuti.
(b) Kiwango cha kura katika kufikiauamuzi wa mshindi katika uchaguzi usio wakundi ni zaidi ya nusu ya kura zote halali zilizopigwa. Kura halali zilizopigwa nikuondoa kura zilizoharibika.
Katika uchaguzi wakujaza nafasi nyingi kwa pamoja (Uchaguzi wakundi) ushindi utahesabiwa kwa kufuata wingi wa kura alizopata mwombaji.
Source: Kanuni za Uchaguzi za CCM, Toleo la Februari 2010.
21 (a) Kazi ya kuhesabu kura itafanyika tu wakati ambapo kuna mwanga wakutosha na wa kuaminika na mahaliambapo kuna ulinzi na usalama madhubuti.
(b) Kiwango cha kura katika kufikiauamuzi wa mshindi katika uchaguzi usio wakundi ni zaidi ya nusu ya kura zote halali zilizopigwa. Kura halali zilizopigwa nikuondoa kura zilizoharibika.
Katika uchaguzi wakujaza nafasi nyingi kwa pamoja (Uchaguzi wakundi) ushindi utahesabiwa kwa kufuata wingi wa kura alizopata mwombaji.
Source: Kanuni za Uchaguzi za CCM, Toleo la Februari 2010.