The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Issa kijoti na mzee kipara wanampokea kanumba kwa shangwe na kumuuliza BIG DADDY mbona umekuja mapema huku? Au FAMILY TEARS imekuchosha,ama umeikimbia MAGIC HOUSE?,lakini ukumbuke UNCLE JJ wabongo wanakukubali,kanumba anajibu YOUNG BILLIONEA huenda sehemu yoyote anayoitaka,ila sometime dunia inaboa coz mademu wengi wana FAKE SMILE hivyo nimeona nisepe kuepuka DANGEROUS DESIRE kabla ya NDOA YANGU...........R.I.P