Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Safi sana Kanumba umetuwasilisha vizuri wasukuma ....! teh teh teh
Mtaalamu una maana hiyo au ya kuwakilishwa?
Safi sana Kanumba umetuwasilisha vizuri wasukuma ....! teh teh teh
Mtaalamu una maana hiyo au ya kuwakilishwa?
Safi sana Kanumba umetuwakilisha vizuri wasukuma na watanzania...! teh teh teh
Wasukuma na Kiingereza chao wakati mwingine kinafurahisha. Unakuta Ngosha anasema "I am comingi furom Jamayika". Kali ni yule alikuwa alienda Urusi pale kusoma na siku moja akiwa anataka kuwasha jiko la Gesi, akaona dada wa Kizambia akitaka kuzima jiko, ngosha akaruka "Don't put it off, i'm cooking ON HIM".
Wasukuma na Kiingereza chao wakati mwingine kinafurahisha. Unakuta Ngosha anasema "I am comingi furom Jamayika". Kali ni yule alikuwa alienda Urusi pale kusoma na siku moja akiwa anataka kuwasha jiko la Gesi, akaona dada wa Kizambia akitaka kuzima jiko, ngosha akaruka "Don't put it off, i'm cooking ON HIM".
jana nilistuka sana baada ya kuangalia bba na kumkuta kanumba, maana sikumbuki alichaguliwa lini?? ila yule ni msanii ataharibu tu pale hapamfai, tatizo la wasaniii wetu wa bongo wanajifanya kutumia sana vipaji ambavyo vingine ni vy kulazimisha, wenzao wanasomea, hapa mtu akiigiza tu kidogo eti naye ni msanii....mara eti pia ni director....come on guyz ndio mana kazi zao zinaboa wakati mwingine...
Waveja sanaa....Safi sana Kanumba umetuwakilisha vizuri wasukuma na watanzania...! teh teh teh
Waveja sanaa....
Waveja sanaa....
Du! Mpaka saa hii mtoa mada hajatokea. Naona yamemfika makubwa huko alikoMtoa mada sio wote wenye ving'amuzi majumbani kwao,hebu fafanueni ni kweli yumo au hayumo msiwe mnatuzingua.! kama yupo mjengoni au hayupo basi ijulikane.
Mkuu acha kubeza, Kanumba ni 'actor' tena anaiweza kazi yake. Nani kama Kanumba Tanzania? hawa wengine akina Single Mtambalike, JB, Richard nk wanafuata nyayo tu. Waliofyeka njia ya film/movies ni akina Kanumba, Ray, Magali nk. Lakini ktk hao wote staa wao ni Kanumba. Tembelea tovuti yake upate mengi zaidi hapa:http://kanumba.com/
Swala la kwenda BBA hakujipeleka, bali BBA kwa utafiti wao wamemwona kuwa ni moja ya celebs wakubwa Africa, ndo maana akaitwa kule. Pia kumbuka kwamba BBA siyo serious thing, is just fun shows. So, unaweza kufanya chochote ilimradi kinawavutia watazamaji na kuiingizia pesa mnetafrica.
Kanumba anastahili heshma kwa kutangaza movie za bongo mpaka sasa wasanii wanaweza kujiajiri ktk fani hiyo.
Wasukuma na Kiingereza chao wakati mwingine kinafurahisha. Unakuta Ngosha anasema "I am comingi furom Jamayika". Kali ni yule alikuwa alienda Urusi pale kusoma na siku moja akiwa anataka kuwasha jiko la Gesi, akaona dada wa Kizambia akitaka kuzima jiko, ngosha akaruka "Don't put it off, i'm cooking ON HIM".
Kiingereza sio our mother tongue, tangu tunazaliwa tunazungumza kama si lugha ya baba na mama, basi ni kiswahili kwa kwenda mbele. Hapa ni vyema waandaaji wakaangalia vyema vigezo vyao vya mwakilishi katika shindano hilo, ila kwa ninavyowafahamu wabongo atagangamala mpaka kitaeleweka tuu.
Mkuu kama umeenda shule ya kimagharibi, basi shule haikukaa, ulifaulu tu upate cheti.
Kama huajenda hiyo shule wala sioni ajabu.
Hata kama ni show ya kuchekesha lazima ueleweke unaongea nini. Wakati wenzake wanaongea maneno ya kawaida yeye anacheka, akiulizwa maswali anasema YOUR WORDS IS DIFFICULT.
Ndugu yangu ni aibu. Labda wewe tu huoni ila kwenye kila shemu bongo jana ni gumzo.
Ukiwa hujui kuongea kiingereza kuanzia jana unaitwa KANUMBA.
Kama kafanikiwa na shule hana, na wewe umeenda shule, umeshindwa nini kumshauri ajifunze kiingereza? ni muhimu sana kwa kazi yake ndugu yangu.