victorjane
Member
- Dec 2, 2010
- 23
- 2
hivi jamani hivi wanavyofanya akina kanumba na ray ni movies au michezo ya kuigiza?mbona hawana mvuto kabisa?kuna siri gani juu ya wao kupewa airtime ya kutosha na media zetu?
wewe yako iko wapi? Kwa hiyo ukikosoa lazima na wewe uwe na movie?? Acha hizo bwanaacheni wivu wa kike, ray na kanumba wanajitahidi sana. Wote mnaowananga mbona hamjaonekana hata kwenye movie moja ili tuone ujuzi wenu? Hivyo!!