Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 815
habari nilizozisikia leo saa moja usk ni kkua,marehemu kanumba alikuwa anampango na cdm kugombea ubunge shinyanga,souce baba mzazi akihojiwa na radio wapo ,ktk kipindi cha patapata,na alikuwa anaungwa mkono na jamii yote,vijana wakike na wakiume,na wamama