Muigizaji Maarufu hapa nchini Steve Kanumba leo anazindua filamu yake mpya katika ukumbi wa kizota uliopo mkoani Kigoma. Wadau wa sanaa hii mnaombwa mjitokeze kwa wingi sana katika kumuunga mkono msanii huyu
Muigizaji Maarufu hapa nchini Steve Kanumba leo anazindua filamu yake mpya katika ukumbi wa kizota uliopo mkoani Kigoma. Wadau wa sanaa hii mnaombwa mjitokeze kwa wingi sana katika kumuunga mkono msanii huyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.