Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nimo kwenye basi nasafiri, kuna sinema "Devil Kingdom" inaendelea na Msanii nguli na muandaaji wa filamu hiyo ni Steve Kanumba. Mwisho wa filamu Kanumba anawashukuru watu wengi kwa kusaidia kufanikisha filamu hiyo. Miongoni mwao ni Dr Moh'd Gharib (Makamu wa Rais?) na Riziwani Kikwete! Sina hakika, ni hao ndo wamempa Hummer na nyumba za kifahari ka kuandaa filamu au la.
Cha kujifunza ni kuwa ukitaka kufanikiwa kiulaini njia rahisi ni kujiunganisha na Mtandao wa Watawala; si tunaona kwa Clouds FM?
Cha kujifunza ni kuwa ukitaka kufanikiwa kiulaini njia rahisi ni kujiunganisha na Mtandao wa Watawala; si tunaona kwa Clouds FM?