Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
Preta na wenzako hebu mshaurini mwenzenu ananibania kisa nina vigezo vyote vya mwanaume anaevutia mtoto wa kike kwa KILA KITU nimemconvice sana mpaka naona kama namconfuse! Hajielewi,
japo umesema kwa mabint tu lakini wanaume tumeingia kukuweka sawa!
1.kwanza kwanini umetaka mabint tu wachangie hapa?kijana unaogopa wanaume?
2.ukijiangalia sura yako umefanana na mama yako au na baba yako?
3.jibu swali la msingi la kongosho hapo juu!