Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
Hakuna aliyemtumikia MUNGU na MUNGU akamwacha aaibike.
enyi wanafki je mmekosa cha kuposti?
moja ya vitu ambavyo nilikuwa nakanywa sana nikiwa mtoto wakati wa kutoka shule ya jumapili,
Haya ni makanisa ya Kipentekoste
Mkuu hiyo ni hali halisi ya Makanisa mengi ya kipentekoste au walokole....Haya makanisa wengi ni wachumia tumbo ambao wamatumia shida za watu kujitajirisha...moja ya vitu ambavyo nilikuwa nakanywa sana nikiwa mtoto wakati wa kutoka shule ya jumapili,
1. usile sadaka hata kidogo,
2. usimdharau mtumishi yeyote wa kanisani kuanzia mchungaji, mpaka mlinzi au mpika chai,( maana mwalimu wa sunday school alikuwa ni mchoma sindano kwa mifugo yetu).
3. usitanie au kudhiaki maneno ya Mungu ( iwe ya dini nyingine au unayoijua wewe kama bibilia)
4. usicheke jengo au eneo la watu wanapoabudia/kusali..
Ushauri wangu kwako ni huu Mungu hadhiakiwi..
No vyote vya Amavubi hivyo!Kiatu changu
Laana nyingine ni za kujitakia. Ingia magotini omba rehema na toba yasije yakakukuta yaliyomkuta Haruni na Mariam baada ya kumsema vibaya Musa
yan hata kama ni kweli mie kama nimeathirika na zile morals za utotoni, ngoja nkupe mfano mkuu kuna jamaa nilsoma naye primary baada ya miaka mitatu nkaonana naye mtu wa dili sana, nikiwa chuo tulikutana akaniambia mambo magumu naenda kongo nkirudi ntakuwa na kanisa.. Mungu anisamehe kwa kumsema, nkamsikia kwenye redio za dini mtume (xxx) na kanisa alifungua maeneo ya kimara temboni.. yan nkasema ntabakia na tenzi za rohoni na bible tu mpaka kieleweke..Mkuu hiyo ni hali halisi ya Makanisa mengi ya kipentekoste au walokole....Haya makanisa wengi ni wachumia tumbo ambao wamatumia shida za watu kujitajirisha...