Kanisani

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
15,271
29,879
e14c08900a50c9c7c19eeabda07c1d9a.jpg
 
moja ya vitu ambavyo nilikuwa nakanywa sana nikiwa mtoto wakati wa kutoka shule ya jumapili,
1. usile sadaka hata kidogo,
2. usimdharau mtumishi yeyote wa kanisani kuanzia mchungaji, mpaka mlinzi au mpika chai,( maana mwalimu wa sunday school alikuwa ni mchoma sindano kwa mifugo yetu).
3. usitanie au kudhiaki maneno ya Mungu ( iwe ya dini nyingine au unayoijua wewe kama bibilia)
4. usicheke jengo au eneo la watu wanapoabudia/kusali..
Ushauri wangu kwako ni huu Mungu hadhiakiwi..
 
moja ya vitu ambavyo nilikuwa nakanywa sana nikiwa mtoto wakati wa kutoka shule ya jumapili,
1. usile sadaka hata kidogo,
2. usimdharau mtumishi yeyote wa kanisani kuanzia mchungaji, mpaka mlinzi au mpika chai,( maana mwalimu wa sunday school alikuwa ni mchoma sindano kwa mifugo yetu).
3. usitanie au kudhiaki maneno ya Mungu ( iwe ya dini nyingine au unayoijua wewe kama bibilia)
4. usicheke jengo au eneo la watu wanapoabudia/kusali..
Ushauri wangu kwako ni huu Mungu hadhiakiwi..
Mkuu hiyo ni hali halisi ya Makanisa mengi ya kipentekoste au walokole....Haya makanisa wengi ni wachumia tumbo ambao wamatumia shida za watu kujitajirisha...
 
Mkuu hiyo ni hali halisi ya Makanisa mengi ya kipentekoste au walokole....Haya makanisa wengi ni wachumia tumbo ambao wamatumia shida za watu kujitajirisha...
yan hata kama ni kweli mie kama nimeathirika na zile morals za utotoni, ngoja nkupe mfano mkuu kuna jamaa nilsoma naye primary baada ya miaka mitatu nkaonana naye mtu wa dili sana, nikiwa chuo tulikutana akaniambia mambo magumu naenda kongo nkirudi ntakuwa na kanisa.. Mungu anisamehe kwa kumsema, nkamsikia kwenye redio za dini mtume (xxx) na kanisa alifungua maeneo ya kimara temboni.. yan nkasema ntabakia na tenzi za rohoni na bible tu mpaka kieleweke..
 
Back
Top Bottom