Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Katika kuonesha kuwa Makanisa mengi yako kibiashara zaidi, Kanisa la Pentekoste Kunduchi limepokea pesa haramu za kifisadi shilingi milioni ishirini kutoka kwa Mtanzania bandia Rostam Azizi huku viongozi wa kanisa hilo wakijua fika kwamba Rostam Azizi ni fisadi na ni mmoja ya watu wanaoyumbisha utawala wa nchi hii kwa kujifanya yeye ni kiranja wa Ikulu ya Tanzania.
Haya ni matusi makubwa kwa Kanisa la Mungu na ni usaliti kwa Watanzania ambao kila kukicha tunalia na umasikini ulioletwa na kina Rostam na genge lake la wezi.
Mungu hatawaacha mkapona.
Haya ni matusi makubwa kwa Kanisa la Mungu na ni usaliti kwa Watanzania ambao kila kukicha tunalia na umasikini ulioletwa na kina Rostam na genge lake la wezi.
Mungu hatawaacha mkapona.