Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Mie hivi vyeo vyao tu ndo naishiwa hamu kabisaaaaaaaaa! Kuna mshikaji alikuwa mwalimu wa kwaya tu huku na kule akapelekwa marekani miezi 3 kurudi nasikia anaitwa APOSTLE mweh!
ni neno la kawaida tu ambalo hata mtu asiyeenda shule anaweza kulielewa...na ni upungufu wa kusoma na kuielewa Bible kuhusu categories za watumishi wa Mungu kulingana na vipawa ambavyo Mungu amewachagua/tuma...ukielewa hivyo, utaelewa ni kwanini huyo unayemdharau anaitwa apostle...unaonekana kama una allergy na maandishi ya Bible mkuu....