KANISA la Kilutheri Tanzania (KKKT) Mkoa wa Mbeya, limeanzisha mradi wa hifadhi ya wanyamapori kwa ajili ya kuendeleza sekta ya utalii nchini.
Mchungaji wa kanisa hilo, Markus Lehner ambaye pia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Chuo cha Ufundi Mbalizi alisema mradi huo upo katika hatua za mwisho kukamilika.
Alisema kanisa lao limeamua kuuendeleza utalii mkoani hapa kutokana na sekta hiyo kuonekana kuwa na manufaa makubwa kwa taifa
.....Endelea http://mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=6702
Wadau hii imekaaje? Kwenye Secular Government yetu yakubalika Hii?
Mchungaji wa kanisa hilo, Markus Lehner ambaye pia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Chuo cha Ufundi Mbalizi alisema mradi huo upo katika hatua za mwisho kukamilika.
Alisema kanisa lao limeamua kuuendeleza utalii mkoani hapa kutokana na sekta hiyo kuonekana kuwa na manufaa makubwa kwa taifa
.....Endelea http://mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=6702
Wadau hii imekaaje? Kwenye Secular Government yetu yakubalika Hii?