Kanisa la tag mwanza , liloko nyegezi mwanza linaloongozwa na mchungaji mbuke, leo wamefanya ibada ya kuteketeza pesa kwa moto kwa madai ya kua bwana atasikiliza maombi yao. Waumini wengi wameshiriki ibada hiyo ambayo inaendelea hadi hivi sasa. Hii ni mbaya ya 2011