Spear
JF-Expert Member
- Jun 21, 2008
- 507
- 28
Tatizo hamtaki kulielewa Makanisa yamekuwa mengi yanachomoza kila kukicha kama vile uyoga na kazi yake hasa ni kujishuhulisha na biasha ya unga na Ngono hatima yake jamii ya Kizanzibar imeanza kuteketea ,jengine kama utangalia Makahaba wengi unawakuta katika makanisa mgu nje mguu ndani sasa unajiuliza nini kilichoajiri hata ikawa leo makahaba wameinvedi zanzibar kwa kasi kama hivi na kwanini iwe kisingizio kanisa jibu linakuja hapa wao ni wafanya kazi wa hao wachungaji kama lilivyo kanisa ni moja ya biasha za kujipatia utajiri