Kanisa katoliki ndio limetufikisha hapa

Hivi..... Ina maana jf ni mahali pa kujaribishia ujue kama una akili au mbumbumbu?
Huna lazima ku post upupu unaokujia kichwani maana unajipotezea heshima.tafuta topics nyepesi nyepesie sawa na akili yako ndugu...maswala mengine waachie wanaoyaweza.
 
Msisahau kuna uhuru wa kutoa maoni japo wakati mwingine yanakuwa maoni butu. Maoni ya mtu mmoja ambaye ana haki zake kiraia hayawezi yakatumika kulichafua Kanisa kwa ujumla wake. Usisahau maoni mengine yanachanganyika na kujipendekeza.
 
Katika Uchaguzi uliomuingiza Mkwere Madarakani Mwaka 2005, Kanisa katoriki lilijiingiza kwenye Siasa za uchaguzi Miguu yote miwili na kuwalazimisha Watanzania Wamchague Kikwete kwa sababu ni Chaguo la MUNGU. ni kutokana na nguvu ya UONGO huu ndio maana Kikwete aliingia madarakani kwa ushindi ambao yeye, chama chake na kanisa katoriki waliuita wa kishindo.

Yes, Kanisa katoriki limetufikisha hapa kama taifa, Kanisa Katoriki lilijua toka Mwanzo kwamba Kikwete sio chaguo la Mungu hasa Mungu ambaye habari zake zimeandikwa kwenye Biblia, kwamba yeye ndio THE AUTHOR wa habari zilizo andikwa mle, Mungu aliyeiandika Biblia ni Mungu wa Amani na Upendo, ni Mungu wa Haki, ni Mungu wa Utaratibu sio mafarakano na sintofahamu kama tunazofanyiwa leo na Kikwete.

Kama Mungu alishiriki katika uchaguzi wa Mwaka 2005, angeweka mtu ambaye hata kama leo angekuwa na viwango vya utendaji kama wa kikwete, basi watanzania wangekuwa na huzuni "kwamba Mbona kiongozi wetu amebadirika", Watanzania wangemlilia Mungu alimrudishe kiongozi wao katika mstari,na Mungu angetumia fursa ya Uchaguzi uliopita kumpiga chini.Ushahidi wa Mahusiano ya Mungu na Viongozi uko namna hii kama ilivyoandikwa kwenye Biblia.

Katika Uchaguzi wa Mwaka 2005 na hata wa Mwaka 2010, Kikwete alitumia pesa za wizi katika Uchaguzi,
Aliiba Pesa BOT, Mwaka huu vivyo hivyo, mara zote mbili ametumia Uganga, Uchawi na Ushirikina katika Kampeni zake, Haya yote kanisa katoriki liliyajua toka Mwanzo, Kikwete alianza Majungu toka mwaka 1995 ambayo leo yanakisumbua chama cha mapinduzi utafikiri ni chama kinda,uovu ulitapakaa katika harakati zake zote za Urais. Haya Yote kanisa katoriki liliyajua.Je Mungu anaweza kuwa na ushirika na mtu kama huyu?

Kanisa katoriki halijawahi kuwaomba msamaha watanzania mpaka leo,halijawahi kubadilisha kauli yake mpaka leo, liko kimya kabisa, kipindi cha Kampeni za mwaka 2010 baadhi ya wananchi walihoji, Wapi mvuto wa Kimungu wa Mkwere? Kanisa halikutoa maelekezo. Bila Kanisa katoriki Kikwete asingeingia Madakani mwaka 2005, na wengi tulijua kwa haki ama kwa hila angeendelea kuwa madarani kwa miaka mitano zaidi.

Hapa tulipofika Kanisa Katoriki linahusika Moja kwa moja. KWA NINI KANISA KATORIKI LILITUDANGANYA?

Kumbe wewe unategemea mawazo ya watu wengine.pole sana.Jifunze kujitegea kimawazo.Halafu bwana Katoriki ni kitu gani?Ni Katoliki kama unataka kwa kiswahili.Unaikosesha thread yako mvuto hivi hivi.
 
Sidhani Kama kuna Dhehebu lenye viongozi wenye ufahamu na ujuzi mwingi kama RC!? Kama lipo nifahamisheni!
kibananhukhu nadhani kakujibu vizuri sana!
 
Katika Uchaguzi uliomuingiza Mkwere Madarakani Mwaka 2005, Kanisa katoriki lilijiingiza kwenye Siasa za uchaguzi Miguu yote miwili na kuwalazimisha Watanzania Wamchague Kikwete kwa sababu ni Chaguo la MUNGU. ni kutokana na nguvu ya UONGO huu ndio maana Kikwete aliingia madarakani kwa ushindi ambao yeye, chama chake na kanisa katoriki waliuita wa kishindo.

Yes, Kanisa katoriki limetufikisha hapa kama taifa, Kanisa Katoriki lilijua toka Mwanzo kwamba Kikwete sio chaguo la Mungu hasa Mungu ambaye habari zake zimeandikwa kwenye Biblia, kwamba yeye ndio THE AUTHOR wa habari zilizo andikwa mle, Mungu aliyeiandika Biblia ni Mungu wa Amani na Upendo, ni Mungu wa Haki, ni Mungu wa Utaratibu sio mafarakano na sintofahamu kama tunazofanyiwa leo na Kikwete.

Kama Mungu alishiriki katika uchaguzi wa Mwaka 2005, angeweka mtu ambaye hata kama leo angekuwa na viwango vya utendaji kama wa kikwete, basi watanzania wangekuwa na huzuni "kwamba Mbona kiongozi wetu amebadirika", Watanzania wangemlilia Mungu alimrudishe kiongozi wao katika mstari,na Mungu angetumia fursa ya Uchaguzi uliopita kumpiga chini.Ushahidi wa Mahusiano ya Mungu na Viongozi uko namna hii kama ilivyoandikwa kwenye Biblia.

Katika Uchaguzi wa Mwaka 2005 na hata wa Mwaka 2010, Kikwete alitumia pesa za wizi katika Uchaguzi,
Aliiba Pesa BOT, Mwaka huu vivyo hivyo, mara zote mbili ametumia Uganga, Uchawi na Ushirikina katika Kampeni zake, Haya yote kanisa katoriki liliyajua toka Mwanzo, Kikwete alianza Majungu toka mwaka 1995 ambayo leo yanakisumbua chama cha mapinduzi utafikiri ni chama kinda,uovu ulitapakaa katika harakati zake zote za Urais. Haya Yote kanisa katoriki liliyajua.Je Mungu anaweza kuwa na ushirika na mtu kama huyu?

Kanisa katoriki halijawahi kuwaomba msamaha watanzania mpaka leo,halijawahi kubadilisha kauli yake mpaka leo, liko kimya kabisa, kipindi cha Kampeni za mwaka 2010 baadhi ya wananchi walihoji, Wapi mvuto wa Kimungu wa Mkwere? Kanisa halikutoa maelekezo. Bila Kanisa katoriki Kikwete asingeingia Madakani mwaka 2005, na wengi tulijua kwa haki ama kwa hila angeendelea kuwa madarani kwa miaka mitano zaidi.

Hapa tulipofika Kanisa Katoriki linahusika Moja kwa moja. KWA NINI KANISA KATORIKI LILITUDANGANYA?

Mkuu umesema ukweli mtupu kanisa katoliki ni wanafiki wa kutupwa mbona hawajampinga askofu wao kama ilikuwa personal? ujue wakati huo walikuwa hawaitaki CUF!

Mkuu wametufikisha hapa hata kwa umaskini wetu kama taifa pia..kwa taarifa yako watumishi wengi serikalini (policy makers and implementers) kwa bahati mbaya ni wakatoliki sababu inajulikana mt.Nyerere alikuwa na mission yake....

Hao watumishi kazi yao ni kusaidia kanisa (taasisi) na siyo watu wake (wananchi)..na wengi wao akili zao finyu kutokana na elimu ya kupendelea kanisani..so hawaleti impact yoyote japo wako wengi makazini ni janga la kitaifa kweli.
 
mkuu umesema ukweli mtupu kanisa katoliki ni wanafiki wa kutupwa mbona hawajampinga askofu wao kama ilikuwa personal? Ujue wakati huo walikuwa hawaitaki cuf!

Mkuu wametufikisha hapa hata kwa umaskini wetu kama taifa pia..kwa taarifa yako watumishi wengi serikalini (policy makers and implementers) kwa bahati mbaya ni wakatoliki sababu inajulikana mt.nyerere alikuwa na mission yake....

Hao watumishi kazi yao ni kusaidia kanisa (taasisi) na siyo watu wake (wananchi)..na wengi wao akili zao finyu kutokana na elimu ya kupendelea kanisani..so hawaleti impact yoyote japo wako wengi makazini ni janga la kitaifa kweli.
c.r.a.p
 
Mlikejeli Kauli ya mzee Kingunge aliposema kuwa hawa wakatoliki ni wanafiki na ndio yeye akatoka na akawa hawamini mlihisi ni mzaha sasa manaelewa ni mauzuwi gani aliyokuwa anakupeni mzee kingunge .
 
hii threat haijaenda shule kabisa.kanisa lilikulazimisha umchague Kikwete? acha kulala waza jinsi ya kuinua kipato chako majungu hayana tija hapa, kwa hivo tuseme pia waislamu nao wametufikisha hapa kwa kusema tumchague kikwetu tumkatae slaa??? yote haya ni uzushi.
 
Back
Top Bottom