Hakuna justification yeyote kwa Kanisa Katoliki kumtumia EL.Tunajua huyu anatuhuma ambazo hajawahi kukanusha na wananchi tukiwemo waamini wa RC tunaamini zipo hoja za msingi.kama kanisa limeona hana hatia wamsafishe wao basi ili tujue sababu! Michango ni ya sisi waamini na kanisa ni letu sote sasa ni kwa maono gani kanisa kumtumia huyu kila jimbo tena mtu mwenye tuhuma zisizo na majibu? Kanisa halina watu wa kufanya hayo zaidi ya EL? Kama leo kanisa linasema haliwezi kuhukumu mtu wanasahau elimu waliyotupa kipindi cha uchaguzi? Zile sifa huyu El yupo? Sasa anaitwa kwenye harambee kama nani? Wanafikiri tumesahau kauli ya askofu kule mwanza kuhaidi kumsaidia El kujijenga? Kanisa limepotoka na tutawaambia ukweli!
Naomba nitajie tuhuma za Lowassa zinazomyima kwenda kanisani!