Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kama Lowassa angepewa adhabu iliyo wazi haya yote yasingetokea.
Nani ana uhakika labda Lowassa ametubu? kwa Mungu kuna msamaha ndio maana wote tunakwenda misikitini na makanisani kutubu.
Nani ana uhakika labda Lowassa ametubu? kwa Mungu kuna msamaha ndio maana wote tunakwenda misikitini na makanisani kutubu.