Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Nitamtafuta yaani sina amani kabisa.mtafute The Finest kwenye kamati ya maombi labda atasaidia hilo jibu
Nitamtafuta yaani sina amani kabisa.mtafute The Finest kwenye kamati ya maombi labda atasaidia hilo jibu
wateule wapi, freemansons....loh
Ndugu yangu Smiling Saint
Hilo kanisa lako litakuwa linamwabudu Mungu yupi? Kwani naona umechanganya machungwa, malimao, ndimu na chenza kwenye kapu moja....Are they the same?
Babu DC!!
teh teh tehe msamehe maana yawezekana hajui atendaloInabidi uombe msamaha haraka wewe BADILI TABIA,
Umesahau kwamba hata mzee wa robot yuko kwenye hiyo list?
You have been warned and got not more than 30min to submit your apology!!
Babu DC!!
kipi kimekukosesha amani? kufagia? ama kuombewa na Tf? ama ?
Litakuwa na wafuasi kuliko! ila wanamuomba Mungu yupi? isije ikawa ni freemason.
ndio maana hata mie I am puzzled.... eeh Mungu awasaidie
Hahahahahahahahah,
Sasa wewe Smiling Saint utakuwa na matatizo makubwa sana...Yaani unajaribu kuunda timu ambayo hujui kama inacheza football, volleyball, basketball au tennis?
Babu DC!!
Inabidi uombe msamaha haraka wewe BADILI TABIA,
Umesahau kwamba hata mzee wa robot yuko kwenye hiyo list?
You have been warned and got not more than 30min to submit your apology!!
Babu DC!!
ni kama mtu ameingia kwenye geti la uwanja wa taifa... ndai kuna football, netball, volleybal na basketboli halafu ukaambiwa panga kikosi si ndio nikawakuta woooote ndani!!
teh teh tehe msamehe maana yawezekana hajui atendalo
Loh.....
Nimekomaje....
Acha nikatafute handaki nijifiche....
Wasije kunikanumba buuuure.....
Nawahurumia waumini.....
Hivi wataruhusu mabinti na wake zao wasali huko?
Ukizingatia paroko na msaidizi wake mmmmm
mmmmmmh..... Kondoo watapotea....