phina
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 414
- 126
nipo katika kanisa moja hapa luguruni-mbezi/kibamba na nimeshuhudia kwa macho yangu watu wanatandikwa viboko na mchungaji..ikibidi hata kwa kukamatwa na vijana wenye nguvu!
Niliwaza ku-post hii kwenye jukwaa la dini lakini bado nafikiria-je hii ni dini au ukichaa??sijapata jibu bado!
Tupo kwenye mapumziko ya dakika 20..narudi!!
Niliwaza ku-post hii kwenye jukwaa la dini lakini bado nafikiria-je hii ni dini au ukichaa??sijapata jibu bado!
Tupo kwenye mapumziko ya dakika 20..narudi!!