Kaniomba mwenyewe

MONTESQUIEU

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
847
80
Rafiki yangu kaniomba nimsindikize benki achukue pesa akanunue kiwanja kaenda kaunta kachukua pesa kanituma nikamnunulie maji akidai ananisubiri hapo ndani ya benki kwani kuna receipt anaingojea.

Narudi simkuti nampigia cm hapokei, baada kama ya robo saa ananipigia cm eti alishaondoka nimfuate huko anakonunua kiwanja.

Hapa nikaanza jiuliza huyu kaomba lift yangu huko tena kaenda nanani?
Na kwanini anitoroke?
Jamani wana JF huyu anamaana gani?
 
Rafiki yangu kaniomba nimsindikize benki achukue pesa akanunue kiwanja kaenda kaunta kachukua pesa kanituma nikamnunulie maji akidai ananisubiri hapo ndani ya benki kwani kuna receipt anaingojea.

Narudi simkuti nampigia cm hapokei, baada kama ya robo saa ananipigia cm eti alishaondoka nimfuate huko anakonunua kiwanja.

Hapa nikaanza jiuliza huyu kaomba lift yangu huko tena kaenda nanani?
Na kwanini anitoroke?
Jamani wana JF huyu anamaana gani?

Kwani ni mmeo huyo?
 
mmh mashtaka mengne jaman
asi kakupunguzia muda na mafuta umeokoa..
rud hm /kwako endelea na mambo ako..au unha hisa kwenye icho kiwanja?
 
mmh mashtaka mengne jaman
asi kakupunguzia muda na mafuta umeokoa..
rud hm /kwako endelea na mambo ako..au unha hisa kwenye icho kiwanja?

Nimefanya utaratibu huo nisharudi kwa ofisi. kwanza kanitoa job nikaomba ruhusa ya uongo!
 
Ah,mpotezee tu huyo labda aliona utakwapua mzigo nn! Sasa kwann akukimbia na acpokee hata cm!

Ninachojiuliza ni kwann akukimbie kulikuwa na haja gani ya kukuomba umcndikize kama alikua hakutaki
 
Ah,mpotezee tu huyo labda aliona utakwapua mzigo nn! Sasa kwann akukimbia na acpokee hata cm!

Ninachojiuliza ni kwann akukimbie kulikuwa na haja gani ya kukuomba umcndikize kama alikua hakutaki

Mwaya binafsi nimeshangaa!
 
Ukweli ni kwamba kuna jambo ambalo lilimpita kichwani na akagundua kuwa hakuamini hata kidogo kuongozana nawe kwenda kununua hicho kiwanja na hakuwa na njia nyingine ya kukwambia zaidi ya kufanya alichofanya.
Ipo siku anaweza kukwambia kama ni muwazi kwako ila isikuumize sana kichwa
 
kama ni kumrusha roho si angempelekea hati ya kiwanja tu kuliko kumtoa mwenzie kazini jamani

Alikuja kugundua baadae anaweza mkaba ndo maana alivyo fika kwenye plot akamwita tena amrushe roho.
 
Ukweli ni kwamba kuna jambo ambalo lilimpita kichwani na akagundua kuwa hakuamini hata kidogo kuongozana nawe kwenda kununua hicho kiwanja na hakuwa na njia nyingine ya kukwambia zaidi ya kufanya alichofanya.
Ipo siku anaweza kukwambia kama ni muwazi kwako ila isikuumize sana kichwa

Kidogo imenisumbua kwani niliheshm sana aliponiomba nimsindikize, boss aliponipa kazi nikamuomba niifanye badae. ok thanks kwa ushauri wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom