Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
ukiona hivyo ujue wife first..lol
zamu yako itafika tu...subra lol
Akuuuu!!!! mimi ninaye my Eiyer. Kwani wewe umefikiri ahadi gani?
Mimi nilimaanisha ahadi ya kunifuta kabisa moyoni mwako, ili niishi kwa Amani na my nyu lavu!
Last edited by a moderator: