''Kanidanganya kwa nia nzuri''

pumbatupu

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
256
82
Sikuwepo muda flani hapa Jamvini kwa amani ya Bwana naamini wote hatujambo. Sasa wadau wa MMU mimi najaribu kuuliza hivi kuna wakati ni muhimu kusema uongo kwenye Mahusiano?. Nasema hv kwa sbb ni majuzi tu mkewangu kaniambia kuwa mshahara wake umepanda.Mwanzoni nilipomuuliza alikataa. Ananiambia kuwa alinidanganya mwanzoni kwa sbb alitaka kuona ninaweza kufanya nini ili ku'supplement' kipato chetu. Kwa hiyo anadai alinidanganya kwa nia nzuri.Hivi hii inaweza kuwa sawa..'Kudanganya kwa nia nzuri'.
 
staili hiyo ya uongo haionyeshi nia nzuri, nia ingekuwa nzuri kama angebainisha ukweli bila kubanwa kwa dodoso.
 
ushasema alikudanganya, hiyo nia sio nzuri. Ingekuwa utani labda tungesema walau kuna kaukweli ka statimenti yake, lakini kwenye uongo?????????????
 
ushasema alikudanganya, hiyo nia sio nzuri. Ingekuwa utani labda tungesema walau kuna kaukweli ka statimenti yake, lakini kwenye uongo?????????????[/QUOTE UNAEZA DANGANYA KWA LENGO ZURI
 
Uongo katika mapenzi ni vitu ambavo haviepukiki for tunajifunza about our lovers sometimes thrue lying.... Ila tu huo uongo usiwe ni wa kumuumiza mpenzi wako na wala usiwe ni wa kudumu... in the sense vitu vya kudanganya ni vile ambavo sio msingi saaana katika mahusiano - in other words yaani hata mwenzio hakitambua haiwezi kumuumiza. Naamini ukimpenda saana mpenzi wako hutaki aumie, hivo hutufanya sometimes kumuepusha hayo machungu udanganye walau ili tu awe na hali nzuri emotionally hasa kama unafahamu kua ni dhaifu...

Tukija katika suala lako... kama mkeo alikudanganya mara ya kwanza na saizi kaamua kukwambia ukweli - ni dhahiri kua alikua hana nia mbaya kama alivo jieleza... Mistake alofanya ni kukuambia kua alikudanganya it is better angekuambia kua sasa ndio umepanda. She seems to be a good wife labda tu anapima kua nguvu ya mumewe inafikia wapi hasa katika challenges.... Na kwa kweli in most cases uki lie kwa mpenzi wako inakua ni kwa nia nzuri - ili mradi huo uongo usizidi kipimo wala sio wa kuumiza.

Naweza onekana kama nafagilia uongo but trust me kuna situations you can just no tell the truth to your loved ones thou msingi mkubwa wa mahusiano ni Trust. Na ndio maana kama your love ones ana demand ukweli wa kitu ambacho kiko critical na haitajiki udanganye... it is beta kupotezea kuliko kudanganya - hapo unaharibu kila kitu!
 
Uongo katika mapenzi ni vitu ambavo haviepukiki for tunajifunza about our lovers sometimes thrue lying.... Ila tu huo uongo usiwe ni wa kumuumiza mpenzi wako na wala usiwe ni wa kudumu... in the sense vitu vya kudanganya ni vile ambavo sio msingi saaana katika mahusiano - in other words yaani hata mwenzio hakitambua haiwezi kumuumiza. Naamini ukimpenda saana mpenzi wako hutaki aumie, hivo hutufanya sometimes kumuepusha hayo machungu udanganye walau ili tu awe na hali nzuri emotionally hasa kama unafahamu kua ni dhaifu...


Tukija katika suala lako... kama mkeo alikudanganya mara ya kwanza na saizi kaamua kukwambia ukweli - ni dhahiri kua alikua hana nia mbaya kama alivo jieleza... Mistake alofanya ni kukuambia kua alikudanganya it is better angekuambia kua sasa ndio umepanda. She seems to be a good wife labda tu anapima kua nguvu ya mumewe inafikia wapi hasa katika challenges.... Na kwa kweli in most cases uki lie kwa mpenzi wako inakua ni kwa nia nzuri - ili mradi huo uongo usizidi kipimo wala sio wa kuumiza.


Naweza onekana kama nafagilia uongo but trust me kuna situations you can just no tell the truth to your loved ones thou msingi mkubwa wa mahusiano ni Trust. Na ndio maana kama your love ones ana demand ukweli wa kitu ambacho kiko critical na haitajiki udanganye... it is beta kupotezea kuliko kudanganya - hapo unaharibu kila kitu!

Adi ni kwel usemayo smtym unalazimika kudanganya ili ju kumpunguzia mwenzio maumivu coz hata mm naamin kama mtu unampenda hutataka aumie.

Waislam mtume alisema kuna ruhusa tatu za kusema uongo ambazo zimeruhusiwa.
1. Sikumbuki.

2. Uongo wa mume kwa mkewe au mke kwa mumewe kwa lengo la kudumisha ndoa

3. Uongo katk usuluhishi/kupatanisha watu.

Naomba anaekumbuka namba moja anikumbushe.

My take.
Uongo usidi kipimo. na unatakiwa udanganye pale tu inapolazimu tena kwa misingi hiyo iliyoruhusiwa


Stay blessed ADii
 
Uongo katika mapenzi ni vitu ambavo haviepukiki for tunajifunza about our lovers sometimes thrue lying.... Ila tu huo uongo usiwe ni wa kumuumiza mpenzi wako na wala usiwe ni wa kudumu... in the sense vitu vya kudanganya ni vile ambavo sio msingi saaana katika mahusiano - in other words yaani hata mwenzio hakitambua haiwezi kumuumiza. Naamini ukimpenda saana mpenzi wako hutaki aumie, hivo hutufanya sometimes kumuepusha hayo machungu udanganye walau ili tu awe na hali nzuri emotionally hasa kama unafahamu kua ni dhaifu...

Tukija katika suala lako... kama mkeo alikudanganya mara ya kwanza na saizi kaamua kukwambia ukweli - ni dhahiri kua alikua hana nia mbaya kama alivo jieleza... Mistake alofanya ni kukuambia kua alikudanganya it is better angekuambia kua sasa ndio umepanda. She seems to be a good wife labda tu anapima kua nguvu ya mumewe inafikia wapi hasa katika challenges.... Na kwa kweli in most cases uki lie kwa mpenzi wako inakua ni kwa nia nzuri - ili mradi huo uongo usizidi kipimo wala sio wa kuumiza.

Naweza onekana kama nafagilia uongo but trust me kuna situations you can just no tell the truth to your loved ones thou msingi mkubwa wa mahusiano ni Trust. Na ndio maana kama your love ones ana demand ukweli wa kitu ambacho kiko critical na haitajiki udanganye... it is beta kupotezea kuliko kudanganya - hapo unaharibu kila kitu!

Aisha.only the truth can set you free...............hakuna mushkeli au utata kwenye hilo..............................hakuna exceptions..................once a liar ALWAYS a liar..................................kama mtu huwezi kumwamini kwenye mambo hayo unayoyaita ni madogo je makubwa si itakuwa pata mshike tu........Once a winker always a winker...........
 
Aisha.only the truth can set you free...............hakuna mushkeli au utata kwenye hilo..............................hakuna exceptions..................once a liar ALWAYS a liar..................................kama mtu huwezi kumwamini kwenye mambo hayo unayoyaita ni madogo je makubwa si itakuwa pata mshike tu........Once a winker always a winker...........


Unfortunately i am pressed with time... will get back to this way back later....
 
Adi ni kwel usemayo smtym unalazimika kudanganya ili ju kumpunguzia mwenzio maumivu coz hata mm naamin kama mtu unampenda hutataka aumie.
Waislam mtume alisema kuna ruhusa tatu za kusema uongo ambazo zimeruhusiwa.
1. Sikumbuki.

2. Uongo wa mume kwa mkewe au mke kwa mumewe kwa lengo la kudumisha ndoa

3. Uongo katk usuluhishi/kupatanisha watu.

Naomba anaekumbuka namba moja anikumbushe.

My take.
Uongo usidi kipimo. na unatakiwa udanganye pale tu inapolazimu tena kwa misingi hiyo iliyoruhusiwa.


Stay blessed ADii

hysee kumbe dini inaruhusu!
Ila kwa muktadha ulizongumzia wewe na Adi hata mm nimekubali.

Ila napenda kufahamu hiyo # 1. Labda Adi atuambie kama anaijua.
 
Unfortunately i am pressed with time... will get back to this way back later....

make my day baby..........................................i will be waiting on your return.............but i won't buy you a return ticket, though................
 
ina maana ww hujawahi kusema uongo,na kama kaamua kusema ukweli bila kumlazimisha,huoni kama amebadilika na kagundua alifanya kosa,na angeamua kunyamaza,ww ungejua kama mshahara wake umepanda au vipi? Mi naona sio kosa kubwa kivile, hata ww sometime unaweza ombwa msaada fulani na mkeo unaweza jikuta unamjibu huna pesa wakati kwenye wallet zimejaa
 
We Ruta wewe! Mbona mkali hivo jamani...?

kipipi usiwe na khofu............................just visiting................................and just ensuring we are in the same wavelength.....................
 
jukwaa la uwongo na kudanganyana....

mi sina uwongo leo ..so byeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom