Pole swaiba
thanx niliitwa nikapewe makavu live...
Ulitaka na wewe akijibu kwa text message or face to face? Ipi bora?
Pole tindikali,ila nawe sijui una nuksi gan,manake nimekuwa nikifutilia post zako za mahusiono yaani umekuwa ni mtu wa kukosa tu,a.k.a fungu la kukosa,duh mkuu inabid ujipange upya
mkuu hili nililitegemea, tena sijashangaa ila angesema hana mtu ndo ningeshangaa>>kuwahiwa nako mh, eti anadai kwanini sikumwambia miaka yote.
Mkuu kwa nilivyomtazama, body language inaonesha kabisa anatamani kuwa na mimi, kwani kasema eti angalau nigesema mapema japo sijajua mapema ni ipi. Nitafanya ulivyonishauri, kwani home huwa anakuja na out anazikubaliSikutumi ukabomoe uhusiano wake!
Umemuuliza kuwa asingekuwa attached huko, wewe ungesimama katika nafasi gani naye?....................Wakati mwingine huwa ni kipimo cha how far you are ready to go!
Usivunje urafiki muonyeshe mapenzi..........na kama anakubali kutoka out japo once na wewe nikupe tumaini kuwa waweza kumpata!
Acha woga wewe, mtoto wa kiume lazima ujiamini. Umefanya upumbavu kumtumia sms kqa issue muhimu kama hiyo, ulipaswa kutafuta muda wa kutosha umtoe outing ya nguvu mnaenda sehemu tulivu then mnakaa na kuongea vizuri mkiwa mmetulia sehemu isiyo na bughudha then unaongea naye vizuri kwa kujiamini huku ukimtazama usoni.
afadhali umenena mkuu
awa wavulana wa facebook yani uwa sielewi sijui watakuweje apo badae,wanavimambo vya kitotooo na ujinga kweli ktk maswala siriaz hasa ya kuanzisha familia sijui wanafikiri ni movie?
nyoko kbs
mkuu hata sielewi.
topic za hapa, majibu na ushauri.huku kwema mkuu na karibu sana ila ni unoma gan unaouzungumzia?
Mahakamani mtu akisomewa shitaka halafu akauchuna maana yake anakubaliana na kosa! Mkuu hiyo ngoma inakuhusu jiandae kuicheza kwa raha zako!