Kanichunia baada ya kumwambia namuhitaji awe mpenzi wangu.....

Sasa na wewe ulitaka akujibu "sawa nimekubali" kwa SMS???au unataka akutafute ndo akupe jibu lako???mtafute uchukue majibu yako hata ANGAZA watu wanaenda wenyewe na lazma wapate majibu...................ila kama angekuwa amechukia angekuambia,amechuna amefurahia hilo mkuu,komaa mzigo umeshauchukua huo,CONFIDENCE.....ila method uliyoitumia SIYO
 
Ni rafiki yangu toka o'level, hatujawahi kwaruzana wala kupishana kauli. Kwa kipindi chote nimejitahidi kumuonesha kwa vitendo kwamba namjali na kumpenda. Miaka imepita tukiwa marafiki na nimeweza kumfahamu vizuri kitabia. Hivi majuzi niliamua kuvunja ukimya, na nimwandikia hivi "naomba unielewe ninachotaka kusema, sidhani kama itakuwa busara kwangu kumung'unya maneno, kwa kifupi nakuhitaji uwe mpenzi wangu, sisemi haya kwa bahati mbaya kwani najua nini nafanya na kumaanisha. Kumbuka ni ngumu kuukwepa ukweli, hata nisingesema leo basi ningesema kesho, naomba hekima na busara itawale maamuzi yako".....toka nimemtumia hiyo text kauchuna kimya wakati siyo tabia yake, sifikiri kama nimekosea kumwambia niliyomwambia, lakin nifanyeje ili nimlete katika mud yake ya mwanzo, maana nahisi hata urafik unaweza kwisha. Ushaur wenu wadau unahitajika.

Anatafakari majibu sahihi ya kukupa. Na usitegemee ataendelea na utaratibu wa mawasiliano kama ilivyokuwa zamani kwa sababu kwa ujumbe wako huu unapendekeza mabadiliko ya hadidu za rejea za mahusiano yenu.
 
tatizo bro ume2mia njia ya kitoto sana tena sana,demu huwa anatongozwa fac 2 fac cz ukitumia njia ya cmu tena sms unamfanya ajiamini na anaweza kukujibu chochote tofauti mkiwa ana kwa ana huwa hana ujanja sana.so dnt never gv u bro.ok uc2mie tena njia hyo ya kitoto we m2mzima

Wewe umejuaje kama ni mtu mzima inawezekana bado mtoto/mvulana. Refer thread ya Boss kuhusu tofauti kati ya Mwanaume na Mvulana.
 
Anatafakari majibu sahihi ya kukupa. Na usitegemee ataendelea na utaratibu wa mawasiliano kama ilivyokuwa zamani kwa sababu kwa ujumbe wako huu unapendekeza mabadiliko ya hadidu za rejea za mahusiano yenu.

teh teh teh eti hadidu za rejea...lol
 
Acha woga wewe, mtoto wa kiume lazima ujiamini. Umefanya upumbavu kumtumia sms kqa issue muhimu kama hiyo, ulipaswa kutafuta muda wa kutosha umtoe outing ya nguvu mnaenda sehemu tulivu then mnakaa na kuongea vizuri mkiwa mmetulia sehemu isiyo na bughudha then unaongea naye vizuri kwa kujiamini huku ukimtazama usoni.
Ktk hayo maongezi yenu jitahidi sana kumhakikishia juu ya mustakabali wa maisha yake ya baadaye ktk uhusiano wenu, hayo mambo kwao ni muhimu sana.
Kuwa kwake kimya kusikutishe, huenda amepatwa na mshtuko coz haamini kama uko serious ama lah, na pia njia ulotumia ni ya kitoto zaidi inamfanya akuone kuwa hauko serious. Kama unaweza mpigie simu.

mkuu umenena,kama vp amuombe watoke,then amchane live face to face.
 
upo kwenye mzani wewe chuna na wewe uone cha moto, anakupima huyo

cku nyingne jifunze kutongoza kwa mdomo co text upo ili ujue na mud ya mtu
 
Pole,vp matokeo kaka!j2 inazidi kuisha au mtaonana nite muongee
 
Mimi bado mgeni humu JF napita 2 kuwajulia hali, ila nyie ni noma aisee!
 
pole mkuu! weulitegemea atakuwa hana mtu? anyway usibadilike sasa wewe endeleza urafiki wenu kama kawa! usioneshe kumchunia! ila pole!

mkuu hili nililitegemea, tena sijashangaa ila angesema hana mtu ndo ningeshangaa>>kuwahiwa nako mh, eti anadai kwanini sikumwambia miaka yote.
 
Back
Top Bottom