nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,386
- 2,151
- Thread starter
- #81
asante mkuu nipo active on waiting
Amani iwe kwako mkuu!
Nikitoka katika viwanja vya mahakama ya ardhi Musoma, mbunge wa mwibara Kangi Lugola hajajitokeza mahakamani. Bado anatafutwa punde akipatikana nitawapa updates humu ndani.