Wadau,
Mhe. huyo amekuwa mojawapo ya wabunge ambao wamekuwa wazungumzaji sana ndani na nje ya Bunge.
Nimejaribu sana kufuatilia michango yake kuelewa msimamo wake hasa lakini nimeshindwa kumuelewa anasimamia nini?.
Naona yeye ni kama Zantel- Twanga kokote....nahisi pia alishakuwa kuwa au ni Mchungaji wa makanisa ya Kipentecoste maana flow yake ni kama ya mtu ambaye huwa anasimama madhabahuni kuhubiri.
Halafu nikiangalia katika Televisheni huwa nashindwa kuelewa huwa amesimama au sijui anakaaje anapochangia michango yake. Lugola wewe ni vuguvugu Bwana atakutapika
Mhe. huyo amekuwa mojawapo ya wabunge ambao wamekuwa wazungumzaji sana ndani na nje ya Bunge.
Nimejaribu sana kufuatilia michango yake kuelewa msimamo wake hasa lakini nimeshindwa kumuelewa anasimamia nini?.
Naona yeye ni kama Zantel- Twanga kokote....nahisi pia alishakuwa kuwa au ni Mchungaji wa makanisa ya Kipentecoste maana flow yake ni kama ya mtu ambaye huwa anasimama madhabahuni kuhubiri.
Halafu nikiangalia katika Televisheni huwa nashindwa kuelewa huwa amesimama au sijui anakaaje anapochangia michango yake. Lugola wewe ni vuguvugu Bwana atakutapika