Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,481
- 14,340
duh hata Rwakatare na yeye anaangalia Kanga Moko? Halafu hawa wabunge huko mjengoni huwa wanakosa cha kuongea? Mpaka wanasema kanga Moko inaenda kinyume na maadili hivi hawajui mambo yanayoenda kinyume na maadili? Natamani niwachukue hao wabunge niwaeleweshe na kuwaonyesha vitu vinavyoenda kinyume na maadili kuliko wao wanavyo jiropokea