VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
Yaani wanagombania khanga.....na jamaa anawatazama kwa dharau!!
afu mbona kama anawadolishia,sio kwamba anawagawia?unakumbuka ukiwa na pipi yako afu washkaji wanangojea uwamegee kwa meno?maskini wababa wa watu...
anagawa, na wanaozigombania hizo kanga ni wanaume na yeye (mgawaji) anaonekana kumpuuza mwanamke!! ccm, kazi kweli kweli.Anauza au?
Tena hata ukiangalia sura ya Nape inadhihirisha dharau kwao kabisa yani dah........