Kama resoureces za nchi zingetumika vizuri basi ishu ya kwenda na madawati shuleni isingekuwepo. wanaotakiwa kupiga kelele kuhusu proportionate distribution of resources wakiwa kimya basi inabidi watu wapige kelele that is where JF comes in. The forum has a pivotal role.
Ngambo Ngali!
Haya ndiyo mambo ya Mkwere hata tuongee mpaka asubuhi huyu Rais hasikii wala haambiliki tutaendelea kuwaona akina Mkulo na Sophia simba mpaka waharibu nchi. KWANI mwashangaa lipi si bora hata huyu Kihiyo Billy Lukuvi ni kweli ni mwalimu wa shule ya msingi tena UPE the bottom line is what are the qualifications ya mtu kuwa Mkuu wa Mkoa haijawa defined anywhere na wala sijui why are we wasting our resources.
Nijuavyo mimi (I stand to be corrected )Mkuu wa mkoa alibadilishwa kutoka kuwa a Regional Adminstrator na kuwa Kada tu wa CCM it means any CCM fool qualifies to be an RC as long as anampendeza anayemteua na kumtii.You can't choose a smart guy isije ikawa ya Mrema na Mwinyi au Lowasa na Jakaya Mrisho Kikwete. Alipowateua akina Zakia Hamdani Meghji kuwa wabunge na kuwpa uwaziri tena wa Fedha that is when nilimtoa Kikwete kwenye akili yangu. Ushoga/uswahiba has never done any good in any Country mwacheni Mnyalukolo apete apate vijisenti vya kununua kura huko kwao next year. Hamjui kule Iringa CCM wanavyojizolea mikura nini that is part of the strategy.