Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Jamani, naruhusiwa kucheka au?.....basi ngoja niage kipemba,"mie nenda vyangu"!
Hahahahahaha! Sasa kwani wewe unaogopa kujitekenya? Osha na brashi kuondoa dead cells ambazo zinaweza kufuga bacteria.kama vipi muambie memsahib msuguane miguu afu mitekenyo iwe mitekenyo,lol
keshaondoka...
Kachukua chipsi na kuku,akaoda afungiwe kwenye mfuko,akalie nyumbani..
Ngoja akusikie. Lizzy siyo sista du wa chips unajua