Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Wakuu mlio Mwanza, Kagera na Mara, nitakuwa maeneo haya karibuni. Ningependa kuonana na walio tayari ili tubadilishane mawazo na kusikia kutoka kwenu. Baada ya safari hii nitaelekea Mbeya na Ruvuma.
Hii ni kuweza kuonana na wadau wa JF na kubadilishana nao mawazo, kuwasaidia wenye kuhitaji msaada (kiufundi) na zaidi kuweza kufahamiana na kushauriana namna ya kuipeleka JF kwenye hatua nyingine.
Hii ni kuweza kuonana na wadau wa JF na kubadilishana nao mawazo, kuwasaidia wenye kuhitaji msaada (kiufundi) na zaidi kuweza kufahamiana na kushauriana namna ya kuipeleka JF kwenye hatua nyingine.