Mkuu wa mkoa wa Kigoma,amesema kila kiongozi mkoani humo kuwa na shamba la mfano.
My take:Tanzania nzima viongozi wote wakiwa na mashamba ya mfano,hii nchi itapiga hatua sana badala kila kiongozi kujilimbikizia hela benki na majumba na mapori badala ya mashamba na kulima.
Source:TBC1
My take:Tanzania nzima viongozi wote wakiwa na mashamba ya mfano,hii nchi itapiga hatua sana badala kila kiongozi kujilimbikizia hela benki na majumba na mapori badala ya mashamba na kulima.
Source:TBC1