ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 908
- 604
Ni kuhusu suala la kuwapa mgao vijana wao baada ya kutwaa ubingwa wa super 8.Kamwaga kasema kwamba ni hiari ya uongozi wa simba kuwapa madogo mgao au kutowapa na hawashurutishwi na mtu yoyote kuwapa madogo mgao huo. Akizidi kutiririka zaidi,kamwaga alisema vijana wao waliotwaa ubingwa wa super 8 ni waajiriwa wa SSC na wanalipwa mshahara kila mwisho wa mwezi hivyo siyo lazima wao kupewa huo mgawo.