Kamusi ya Matusi

klf

Member
Jun 12, 2009
58
11
Msomaji mwenzangu: Naomba unitegee sikio. Hapa Ulaya kamusi za matusi na maneno yenye sifa mbaya ziko madukani. Niwie radhi kama maoni yangu hapa yanazua karaha hata iwe kidogo miongoni mwenu lakini sina nia mbaya hata kidogo. Lazima tutambue kwamba lugha mchafu ndio sehemu muhimu sana isiyotengeka ya lugha yoyote duniani. Ni kiambato cha utamaduni wa lugha. Mimi nia yangu ni kutunga kamusi ya kiswahili yenye kujumlisha maneno mabaya/machafu kama matusi, laana, apizo na vingine vingi vya aina hiyo (yaana misemo ya kutukana, kukebehi, kukemea, kuaibisha, kufedhehesha na hali kadhaika) ambayo siku hizi hutumiwa katika jamii ya kisasa. Mara nyingi vijenzi hivi vya kilugha huboresha uelewa wetu kiroho na kiakili na kihisia wa wanadamu wenzetu tena huangaza sehemu zenye kina sana ubongoni mwa mtu.
Ikiwa mradi huu muhimu unakuvutia tafadhali niandikie kupitia anwani ya pepe yangu klf100@iolfree.ie. Afadhali toa maana ya msemo pia ili tusidanganyike kuhusu kusudi linalofichika humo ndani. Michango yote yanakaribishwa na yatakiriwa … Natanguliza shukrani za dhati
 
Msomaji mwenzangu: Naomba unitegee sikio. Hapa Ulaya kamusi za matusi na maneno yenye sifa mbaya ziko madukani. Niwie radhi kama maoni yangu hapa yanazua karaha hata iwe kidogo miongoni mwenu lakini sina nia mbaya hata kidogo. Lazima tutambue kwamba lugha mchafu ndio sehemu muhimu sana isiyotengeka ya lugha yoyote duniani. Ni kiambato cha utamaduni wa lugha. Mimi nia yangu ni kutunga kamusi ya kiswahili yenye kujumlisha maneno mabaya/machafu kama matusi, laana, apizo na vingine vingi vya aina hiyo (yaana misemo ya kutukana, kukebehi, kukemea, kuaibisha, kufedhehesha na hali kadhaika) ambayo siku hizi hutumiwa katika jamii ya kisasa. Mara nyingi vijenzi hivi vya kilugha huboresha uelewa wetu kiroho na kiakili na kihisia wa wanadamu wenzetu tena huangaza sehemu zenye kina sana ubongoni mwa mtu.
Ikiwa mradi huu muhimu unakuvutia tafadhali niandikie kupitia anwani ya pepe yangu klf100@iolfree.ie. Afadhali toa maana ya msemo pia ili tusidanganyike kuhusu kusudi linalofichika humo ndani. Michango yote yanakaribishwa na yatakiriwa … Natanguliza shukrani za dhati

Sasa unaandika matusi ili nini!?
 
Ingekuwa kamusi ya maneno ya kisayansi, tungechangia. Kwa kuwa ni matusi, hiyo ni dhidi ya maadili ya kiAfrika.
 
gOOOOSH!
Tunanukuu na kubandika mambo yote ya Ulaya na kutaka kuyaleta Bongo....Kuna manufaa gani hapa?...Kamusi ya matusi?...for what....yamsaidie nani....umuuzie nani...upate faida ya udhalimu?
 
Msomaji mwenzangu: Naomba unitegee sikio. Hapa Ulaya kamusi za matusi na maneno yenye sifa mbaya ziko madukani. Niwie radhi kama maoni yangu hapa yanazua karaha hata iwe kidogo miongoni mwenu lakini sina nia mbaya hata kidogo. Lazima tutambue kwamba lugha mchafu ndio sehemu muhimu sana isiyotengeka ya lugha yoyote duniani. Ni kiambato cha utamaduni wa lugha. Mimi nia yangu ni kutunga kamusi ya kiswahili yenye kujumlisha maneno mabaya/machafu kama matusi, laana, apizo na vingine vingi vya aina hiyo (yaana misemo ya kutukana, kukebehi, kukemea, kuaibisha, kufedhehesha na hali kadhaika) ambayo siku hizi hutumiwa katika jamii ya kisasa. Mara nyingi vijenzi hivi vya kilugha huboresha uelewa wetu kiroho na kiakili na kihisia wa wanadamu wenzetu tena huangaza sehemu zenye kina sana ubongoni mwa mtu.
Ikiwa mradi huu muhimu unakuvutia tafadhali niandikie kupitia anwani ya pepe yangu klf100@iolfree.ie. Afadhali toa maana ya msemo pia ili tusidanganyike kuhusu kusudi linalofichika humo ndani. Michango yote yanakaribishwa na yatakiriwa … Natanguliza shukrani za dhati

Changia JF kwanza........!
 
Kama unafanya utafiti kwa ajili ya shule naona hapo ushafeli, nakushauri utafute topic nyingine yakufanyia utafiti. Kwa utamaduni wetu kamwe hatutakuelewa.
 
Msomaji mwenzangu: Naomba unitegee sikio. Hapa Ulaya kamusi za matusi na maneno yenye sifa mbaya ziko madukani. Niwie radhi kama maoni yangu hapa yanazua karaha hata iwe kidogo miongoni mwenu lakini sina nia mbaya hata kidogo. Lazima tutambue kwamba lugha mchafu ndio sehemu muhimu sana isiyotengeka ya lugha yoyote duniani. Ni kiambato cha utamaduni wa lugha. Mimi nia yangu ni kutunga kamusi ya kiswahili yenye kujumlisha maneno mabaya/machafu kama matusi, laana, apizo na vingine vingi vya aina hiyo (yaana misemo ya kutukana, kukebehi, kukemea, kuaibisha, kufedhehesha na hali kadhaika) ambayo siku hizi hutumiwa katika jamii ya kisasa. Mara nyingi vijenzi hivi vya kilugha huboresha uelewa wetu kiroho na kiakili na kihisia wa wanadamu wenzetu tena huangaza sehemu zenye kina sana ubongoni mwa mtu.
Ikiwa mradi huu muhimu unakuvutia tafadhali niandikie kupitia anwani ya pepe yangu klf100@iolfree.ie. Afadhali toa maana ya msemo pia ili tusidanganyike kuhusu kusudi linalofichika humo ndani. Michango yote yanakaribishwa na yatakiriwa … Natanguliza shukrani za dhati

wewe jamaa vipi huono haya wala hujui vibaya
 
Mie nakupongeza kwani bila matusi usingezaliwa, ni muhimu ku mind ulikotokea

Mkuu watu wanazaliwa kutokana na mapenzi kamwe sio matusi- Labda (sina uhakika mtanirekebisha kama siko sahihi) mimba iwe imetokana na kubakwa
 
Sasa huyu anataka kutuharibia Lugha yetu ili Wazungu waione ni Lugha yetu ya Kiswahili ni kuwa Lugha ya Matusi? Mbona sisi tuko huku

Ughaibuni lakini hatuigi mambo ya huku? Ustaarabu wa Kizungu mimi ninauita ni Ustaraabu wa kishetani inakuwaje Baba wa kizungu analala na

mwanawe wa kike kitanda kimoja? Je Usiku hawawezi kufanya Nanihii?Au Mama wa Kizungu kulala kitanda kimoja na Mwanawe wa kiume?Je huyo

mama hawezi kufanya Nanihi na mwanawe wa kiume usiku wakiwa kitanda kimoja na mtoto wake wa kiume tena mkubwa? Tafadhali

musimfundishe Lugha yetu tukufu, huyu asije akaharibu huko ulaya kumesha mharibu natanguliza asanteni.
 
Hivi hayo maneno ya matusi unayotaka kutunga yatatusaiadia nini sisi kutukwamua katika hali ngumu hii tulionayo, tafadhali usiharibu muda wako kutunga kamusi kama hiyo, tusaidie kutukwamua katika ukata huu tulionao.
 
Wanatovuti washariki: Ni dhahiri kwamba mradi huu haukuchochea watu wengi kuichangia. Pai hakuna ubishi kwamba wakati wake haujafika. Ingawa nakubali maamuzi yaliofanywa lakini niruhusu kuwaambiena kwamba siku moja wakati ujao kamuzi ndogo ya aina hii itachapishwa ......hakika. Si vizuri kwa watu fulani kujisingizia kwamba maneno hayo hayamo kwenye lugha. Duniani kote hakuna lugha isiyo na misemo na maneno ya aina hiyo. Kuyaangazia ndiko kuyachukulia kama istilahi ya kiufundi kama tuavyofanya kwa fani nyingine k.m mambo ya kitarakirishi au tuseme fani ya kiseremala. Matusi - yawe mabaya sana au yasiyoumiza sana - ndiyo vifaa vya k.m kujieleza kihisia kuhusu mwenendo fulani fulani n.k.Si jambo la aibu hata kidogo kutambua kuwepo kwake.
 
Wanatovuti washariki: Ni dhahiri kwamba mradi huu haukuchochea watu wengi kuichangia. Pai hakuna ubishi kwamba wakati wake haujafika. Ingawa nakubali maamuzi yaliofanywa lakini niruhusu kuwaambiena kwamba siku moja wakati ujao kamuzi ndogo ya aina hii itachapishwa ......hakika. Si vizuri kwa watu fulani kujisingizia kwamba maneno hayo hayamo kwenye lugha. Duniani kote hakuna lugha isiyo na misemo na maneno ya aina hiyo. Kuyaangazia ndiko kuyachukulia kama istilahi ya kiufundi kama tuavyofanya kwa fani nyingine k.m mambo ya kitarakirishi au tuseme fani ya kiseremala. Matusi - yawe mabaya sana au yasiyoumiza sana - ndiyo vifaa vya k.m kujieleza kihisia kuhusu mwenendo fulani fulani n.k.Si jambo la aibu hata kidogo kutambua kuwepo kwake.

Ningekuunga mkono kama ungekuwa na mpango wa kuanziasha kamusi ya maneno ambayo yatasaidia watu kupunguza kutumia maneno ya kuudhi katika kiswahili. Hili halitupeleki popote kimaadili ya kiafrika na hata kukuza upanuzi wa matumizi ya kiswahili ulimwenguni.
 
Back
Top Bottom